Tunajenga ofisi ya kikundi chetu na tunahitaji kuweka vigae kwenye sakafu.
Hapa kwetu udongo ni mwekundu ambao ukipata maji unakuwa tope na unateleza sana. Naomba ushauri wa vigae vya sakafu vinavyofaa kwa kuzingatia:
Hapa kwetu udongo ni mwekundu ambao ukipata maji unakuwa tope na unateleza sana. Naomba ushauri wa vigae vya sakafu vinavyofaa kwa kuzingatia:
- Kampuni na nchi vilikotengenezwa.
- Rangi inayofaa.
- Kipimo bora, fano 40x40, 50x50 nk.
- Sura yake, mtelezo, mng'ao nk.
- Na mengine kwa kuzingatia utaalamu.
+255 714 122 011
Tupo Goba Dar es salaam
Popote tunakufikia 




0748132267 nipo UBUNGO KIBO Dar es Salaam!!