Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 10,493
- 17,533
Hii gari imekaaje wataalam wa magari maana mwaka ujao nataka nivute hii chuma. Kati ya Automatic ama Manual gear ipi ina fuel consumption nzuri na pia ipi nzuri kwa masafa hasa sehemu korofi.
Nimeambatanisha na picha
Nimeambatanisha na picha