Ushauri ushauri Kuhusu RAV4 1st Gen aka Mkulima

Ushauri ushauri Kuhusu RAV4 1st Gen aka Mkulima

Mzee Kigogo

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
10,493
Reaction score
17,533
Hii gari imekaaje wataalam wa magari maana mwaka ujao nataka nivute hii chuma. Kati ya Automatic ama Manual gear ipi ina fuel consumption nzuri na pia ipi nzuri kwa masafa hasa sehemu korofi.
Nimeambatanisha na picha

IMG_6839.jpeg
IMG_6840.jpeg
 
Back
Top Bottom