Ushauri unahtajka haraka!!

Nyendeke

JF-Expert Member
Jul 21, 2013
1,552
2,844
Wana Jf kuna kijana wangu anafanya kazi na coy flan kwa takribani mwaka kwa mkataba, hivi sasa amepata kazi ya Petrol station Manager na anataka aache kule kwa mwanzo inagawaje mshahara ni mkubwa eti kisa ameambiwa kuna maslahi ingawaje mshahara ni mdogo.

Naomben wenye uzoefu wanipe ushauri ili nkamshauri kijana asije potea.

Natanguliza shukrani!
 
Mwambie asikurupuke na aangalie kwa umakini uamuzi anaotaka kuuchukua, asiende sehemu kwa kisa kaahidiwa masilahi kitu cha kufanya afanye uchunguzi kwanza kama hayo masilahi anayoyahitaji yapo au ni habari za mtaani.

Pia kama ataweza awapeleleze wafanyakazi wengine wa hicho kituo cha mafuta kuhusu utaratibu wao wa kazi na pia hata sababu ya yule meneja wa kwanza kutolewa au kuacha hiyo kazi, kila mtu ana masilahi yake na vitu anavyovipenda hivyo masilahi hayafanani.

Ikiwa ataamua kuacha kazi asiache kinyemela aondoke vizuri kwa kuresign na kuwapa sababu ambazo zinaweza kumlinda iwapo atahitaji kuomba kurudi tena kazini.
 
Mwambie asikurupuke na aangalie kwa umakini uamuzi anaotaka kuuchukua, asiende sehemu kwa kisa kaahidiwa masilahi kitu cha kufanya afanye uchunguzi kwanza kama hayo masilahi anayoyahitaji yapo au ni habari za mtaani.

Pia kama ataweza awapeleleze wafanyakazi wengine wa hicho kituo cha mafuta kuhusu utaratibu wao wa kazi na pia hata sababu ya yule meneja wa kwanza kutolewa au kuacha hiyo kazi, kila mtu ana masilahi yake na vitu anavyovipenda hivyo masilahi hayafanani.

Ikiwa ataamua kuacha kazi asiache kinyemela aondoke vizuri kwa kuresign na kuwapa sababu ambazo zinaweza kumlinda iwapo atahitaji kuomba kurudi tena kazini.

....,Nashkuru saana kwa ushaur wako Mzur kaka na Mungu akubarik pia!
 
Kilichopo mkononi ndio kipo, unless anapewa documents aambazo zitamuhakikishia maslahi mengineyo asikurupuke. Binaadamu tuna hila sana, watamuhadaa halafu aharibu kazi yake then akiingia asiweze kutoka tena.
 
Kilichopo mkononi ndio kipo, unless anapewa documents aambazo zitamuhakikishia maslahi mengineyo asikurupuke. Binaadamu tuna hila sana, watamuhadaa halafu aharibu kazi yake then akiingia asiweze kutoka tena.
....,thanx in advance bro!
 
Wana Jf kuna kijana wangu anafanya kazi na coy flan kwa takribani mwaka kwa mkataba, hivi sasa amepata kazi ya Petrol station Manager na anataka aache kule kwa mwanzo inagawaje mshahara ni mkubwa eti kisa ameambiwa kuna maslahi ingawaje mshahara ni mdogo.

Naomben wenye uzoefu wanipe ushauri ili nkamshauri kijana asije potea.

Natanguliza shukrani!
Maslahi gani kwenye petrol station nje ya mshahara? au ndo kale kamchezo ka kujazia watu upepo kwenye magari badala ya mafuta?
 
Maslahi gani kwenye petrol station nje ya mshahara? au ndo kale kamchezo ka kujazia watu upepo kwenye magari badala ya mafuta?
...,swali zur sana but 2wasubr wazoef waje wa2pe majbu yalyosahh!
 
Back
Top Bottom