Ushauri unahitajika hapa

Kuna Lijamaa moja Bonge hivi Simon lilikua linapigwa moto mle mitaani mpk mtaa wote unanuka Nnya.
Sijui km bado mzima yule.
Alikua na visenti kibosile kule NBC aisee kaolewa na muuza Bucha.
Siku tuliwatimbia Usiku tukakimbizana mpaka wakapoteana.
Hawakurudi tena mle ndani.
 
Story za mitandaoni za kutunga hizo! Waliowahi kukutana na hizo situations katika uhalisia wake hawako hivyo hata kidogo
Wengi walipata BP mpaka kulazwa ama stress mpaka kuchanganyikiwa nknk
 
Nimeishia kwenye kununuliwa anaconda mpya.....mtoa mada ni mtu wa upinde hii story ni chai
 
Story za mitandaoni za kutunga hizo! Waliowahi kukutana na hizo situations katika uhalisia wake hawako hivyo hata kidogo
Wengi walipata BP mpaka kulazwa ama stress mpaka kuchanganyikiwa nknk
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wee gran pah em sema kweli??
 
Nimeishia kwenye kununuliwa anaconda mpya.....mtoa mada ni mtu wa upinde hii story ni chai
Sasa mtoa mada na story inahusu nini? Mie nimeikuta huko, nimeileta hapa.

Kwani mie ndo nimetunga hii story?? Wee umevurugwaaa?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapa nilipo hamasisha ni wapiii? Nimeichukua huko FB nimeileta humu kupata maoni.

Haya nimehamasisha wapiiii?
lakini nawewe pia una historia ya kusapoti ushoga! imefikia humu wakahisi na wewe ume-left group
 
Sasa mtoa mada na story inahusu nini? Mie nimeikuta huko, nimeileta hapa.

Kwani mie ndo nimetunga hii story?? Wee umevurugwaaa?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
unaona sasa na huyo anakutuhumu kuwa wewe ni Gay?
 
Haya ma sms ni sawa na yale ya akina MANGE na Askofu Dickson Kabigimula . Wanatengeneza then wanajifanya wametumiwa.
Ni namna watu wanavyosaka tension mitandaoni.
Ni uongo.
Harrier sasa hivi inafika mpaka million 50 na zingine zinazidi hapo.
Mtu ambaye bwana wake anaweza kumnunulia gari ya million 50 on the spot atacheza upatu wa kazini?
Upatu ni kwa watu maskini na waliokosa akili.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ visa vya FB hukoo.
 
Ni busara kutumia neno Baadhi,maana Hilo neno unejumuisha as if wote tunafanywa...Hilo NI tusi la wazi umetutusi we mburukenge
Ukifatilia humu utagundua sijawahi kumtukana mtu kabisa kwahiyo tafadhari tafuta uliozoea kutukana nao Nb mimi sio mburukenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…