Waambie waamke asubuhi moja waende kwa paroko huku wakiwa na washenga wao ,mama mkwe,baba mkwe na watu wasiozidi kumi ,pale nyumbani wapike chai kwa mikate nafikiri harusi itakuwa imekwisha baada ya wiki waanze ujenzi wa nyumba ya ndoto yao .Nyumba itajengwa na wao wasisikilize miluzi ya nje