Ushauri: Ujasirimali na HR management

mama dunia Pole sana na naelewa hali unayoipitia.. kwa mjasilia mali mdogo au wa kati .. hiyo ni hali ya kawaida kabisa .. kwanza hongera kwa kufanya on job training ni wajasiliamali wachache wanaofanya hivyo...

Pili sikushauri kuongeza dau kwa wafanyakazi wako kama kipato hakiruhusu.

Tatu... jaribu kubadilisha mikataba ya ajira.. ipe thamani training yako na wakati wa kusaini ajira ... mwajiliwa anatakiwa a commit to pay back your training cost in cash endapo ataondoka... hapo hutawabana wafanyakazi kutotoka au mwajili mpya kulipia training cost kama atataka kuajili wafanyakazi wako..


Kwa sasa ni hayo tu ... mengine ni PM .... karibu katika timu ya wajasilia mali

wewe unataka kumpotosha mwenzako wewe.
 
Thanks Sangarara, nina watrain mambo ya marketing, yani kuhusu job security may be wanahisi hapana usalama am not sure ila malipo ni ya kawaida kwakuwa siwezi walipa sana kwakuwa huwezi lipa zaidi wakati unajua wewe unapata kiasi gani, mie mara nyingi nakuwa open nawashirikisha katika mambo yote ya kampuni mfano kama kuna mradi umepatikana etc, tena nao wanaaandikaga hizo profomas etc sipendi kuficha ficha..

Kampuni yako inajishughulisha na nini?mtu ambae yuko commited utamjua tu from the scratch
 
Ktk private sector mshahara lazima uwe mzuri ila kazi zinakuwa nyingi kiasi hakuna muda wa kuplan kuondoka labda nje ya kazi. Pia huwa wanaajiri professionals kwani hawataki kuingia gharama kusomesha, akisomesha ni one week zisizo na cheti. Ushauri wangu lipa vizuri, ajiri watu sahihi na kwa kazi maalumu, nenda kasomee project management ujue jinsi ya kuwa manager mzuri etc na TOT ya unavyowatrain hakikisha train inakuwa ni part ya kazi sio kitu cha kufanya module zote kila mwezi stage hii nk. Delegate some roles to get views from your staff why they leave: ajiri HR na mwachie baadhi ya majukumu na usikilize ushauri wake.
 
nakupa ushauri wa bure.ajiri graduate mmoja mlipe mara mbili ya wenzake ,ao wenzake wawe form six failure au form four failure ila wawe na upeo i mean walifeli mtihani ila wanajua lugha kujieleza ,confidence na eager to learn new things faster
huko voda na tigo wanaajiri graduate hadi customer care so hawataenda popote ila make sure huyo graduate anapata zaidi ya wenzake ili asishawishike
 
Hi Wanajamvi, hebu nipeni ushauri maana napata hasira,

Nina kampuni yangu kwahiyo kila nikiajiri huwa na train sana staff ili waelewe kazi kwa ufasaha kabisa na huwa na pia nina hire trainers wa hiyo field ili wapate kuelewa zaidi. Mshahara ninaowapa ni wa kawaida kwakuwa namie simkubwa kivile kwenye game, sasa tatizo linakuja unarecruit leo after three month jamaa wanakuaga wanaenda mara voda, mara airtel, kusema ukweli roho inauma maana naona napoteza resources nyingi na wanatoka, sasa hivi ninao wanne, watatu ndo wanaodeal sana na kazi, sasa nishaurini nifanyeje, nivumilie tu maumivu tu kama kawaida au nifanye nini..mie si mkali kwakwei ni kuelekezana tu basi..mbaya zaidi leo nimefuma communications za hawa waliopo kuwa wanaelekezana namna ya kuapply kazi mbali mbali --umeapply ile, umeapply na ile nk, kweli nimekasirika nimewatizama wenyewe hata hawajajua hadi sasa ila am not happy at all nao, au sijui niwatoe tu maana nimeboreka. i know ni changamoto ila roho inauma, maana inakuwa kama hapa ni ladder vile..nasubiri ushauri mnipe moyo

Jifunze namna ya kuwamiliki sio kulalamika - kwa vyovyote wanatafuta sehemu yenye maslahi zaidi na jingine sehemu inaweza kuwa na maslahi kidogo lakini mazingira ya kazi yakawa mazuri mtu akakomaa hapohapo.
 
Back
Top Bottom