MONEY IS NOT EVERYTHING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 2,041
- 2,864
Mshauri aende VETA apate ujuzi atakuja kukushukuru..sahv diploma na digrii havina soko atajichelewesha tu..
Kabla kutoa comment hyo . ungetoa wazo lako ungekua umefanya la maana kweli yani ..Sasa badala yake na sie tumekuja kusoma comment ya kulaumuu badala ya msaadaJF imekuwa ya kipumbavu sana siku hizi
KabisaaaKwa Ufaulu huo Atapara Tabu PCB aende Diploma Tu.
😂😂😂😂Kwa Ufaulu huo Atapara Tabu PCB aende Diploma Tu.
JF sio ya kipumbavu.JF imekuwa ya kipumbavu sana siku hizi
Aende kwanza VETA diploma na advance atapoteza muda tu👿Habari za saizi
Nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana, amefanikiwa kupata division two, yeye anataka akasome diploma ya physiotherapy na ili asiende advance anasema itakuwa ngumu kuchaguliwa PCB amepata Physics -D Biology -C Chemistry -C Mathematics -C.
Je, tumuache tu aende diploma?
ndo akili yako ilipofika mkuu,kila mtu veta vetaHerufi ni nne tu V E T A
Shukran sanaMpelekeni anapotaka asije walaumu baadae
Shukran sana,watu kama nyie ndo tunao wahitjmwache aende presha ya form six na ugumu wote wa masomo anaweza lamba 0 au 4 akaja kutumia cheti cha form 4 bora akasomee ujuzi...akipata dip anatumia hio hio kuingia batch
Nimekuelwa shukran sanaMpelekeni Diploma, huko 5 & 6 ni kupoteza muda tu kwa kuongeza material zisizo na maana kichwani. Mimi binafsi milipitia 5 & 6 PCM then nikaenda degree, nilichukua njia hiyo kwa sababu sikuwa na taarifa sahihi lakini pia huwa sioni cha maana nilichofanya muda wa form 5 & 6, ni muda nilio utumia kulala sana bwenini hatimaye nikapata Division 0 kwenye mtihani wa mock, nikajiandaa kipindi kilichobakia NECTA nikapata Div 3.13 then nikachaguliwa kwenye chuo changu pendwa DIT, kitu ambacho ningekuwa na taarifa sahihi ningeenda zangu moja kwa moja DIT kusoma diploma baada ya kumaliza kidato cha nne. Yote kwa yote 5 & 6 ni kupoteza muda tu na kwenda kujaza material yasiyo na tija kichwani
Kwa iyo course ya physiotherapy mkuu??Aende diploma akimaliza aanze kula take home laki saba bila shida
😂😂😂Hii ndo comment nlitaka kuona😂😂