cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,848
- 137,579
Ninavojua watoto wanakuwa dini ya baba, kwahyo watoto na wew n Muslim, Ila mkeo n Christian
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahaPENYE TATIZO NI HAPO KWENYE ULOKOLE..,.HAO WATU WAKISHAMKABIDHI MCHUNGAJI UBONGO NDIO BASI TENA..
Wewe umeona kuna upendo hapo?Yani watu waliopendana waachane kisa midini ya kurithi?
Afadhali umesema unavyojua wewe, lakini wakiachana sheria inawajua ni wa mamaNinavojua watoto wanakuwa dini ya baba, kwahyo watoto na wew n Muslim, Ila mkeo n Christian
Sidhan km n kweli hili, kuhusu dini kuwa ya mama haijalishi wataishi kwa huyo mzazi wa kike bado watakuw dini ya mxhua waoAfadhali umesema unavyojua wewe, lakini wakiachana sheria inawajua ni wa mama
Yes na ndio maana wakaowana.Wewe umeona kuna upendo hapo?
Huyo ndio mtu mwenye misimamo na Mungu wake, kila mtu aamini juu ya hatma yake baada ya haya maisha, usimlazimishe nyie dada zenu wakitaka kuolewa na wakristo mpo tayari hata kuwachinjaWasalaam wandugu...
Kabla sijamwoa alinijua kuwa Mimi ni muislam,aliniahidi kubadili dini ila nimpe mda.maisha yamesonga miaka imepita tumejaaliwa kuwa na familia
Siku za hivi karibun mwenzangu nikaona amenunua kitabu Cha tenzi za rohoni ...baada ya chakula cha jioni anaanza mapambio ndani...anakemea mapepo juzi Kati kaenda kanisani na kujitambulisha ameokoka.namuuliza mbona unavunja makubaliano anadai yeye uislam hauwez...niko njia panda hapa nawaza watoto ...sijui nifanyaje.wazazi wake hawanipi ushirikiano wowote.nisaidien tafadhal
Kama hili ni jibu sahihi basi ni vema mwanamume naye akabadili dini kumfuta mkewe.linapokuja suala la dini binadam wengi ni wabinafsi sana bt kitu wasichokijua ni kua dini zote ni njia za kumuelekea mungu hivo zungumza nae kistarabu kama kapenda njia hiyo mwache asali hata usipate shida mkuu
Mkuu ukifanya hvyo watoto watakua upande gani???linapokuja suala la dini binadam wengi ni wabinafsi sana bt kitu wasichokijua ni kua dini zote ni njia za kumuelekea mungu hivo zungumza nae kistarabu kama kapenda njia hiyo mwache asali hata usipate shida mkuu
Hii inshu inafanana na Yangu ila mimi nilichoamua kila mtu aendelee na dini yake ndoa tutafunga ya serikali na inshu ya watoto nawapa Uhuru wakikua wachague imani wanayoitaka siwezi kuwalazimisha kwa sababu kila nafsi ni huru,mimi naangalia upendo na maelewano mazuri niliyo nayo na mke wangu,masuala ya dini hayawezi niharibia mambo Yangu.