Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,872
- 8,385
Ukiwa hapo Njia Panda, kata Kulia
πππππππππππππππππ
Daah hii ndo JF bwanaπ
Ukiwa hapo Njia Panda, kata Kulia
Inategemea huo mtumbwi upo katika mazingira gani.Unaweza ukashauri avunje mtumbwi hatimae wote wakafa majini.Ndoa ndoano.Vunja mtumbwi mgawane mbao
mpe sasa ushauri saiv, utakua umemfuturu mkuu!Mh nina mengi ya kukushauri ila ndo hivyo nimefunga sitaki kuharibu swaum yangu.
Sent From Galaxy S9
Tukusaidie nini?Wasalaam wandugu...
Kabla sijamwoa alinijua kuwa Mimi ni muislam,aliniahidi kubadili dini ila nimpe mda.maisha yamesonga miaka imepita tumejaaliwa kuwa na familia
Siku za hivi karibun mwenzangu nikaona amenunua kitabu Cha tenzi za rohoni ...baada ya chakula cha jioni anaanza mapambio ndani...anakemea mapepo juzi Kati kaenda kanisani na kujitambulisha ameokoka.namuuliza mbona unavunja makubaliano anadai yeye uislam hauwez...niko njia panda hapa nawaza watoto ...sijui nifanyaje.wazazi wake hawanipi ushirikiano wowote.nisaidien tafadhal
Bro barabara inakona mbili tu, kushoto au kulia, toka njia panda utagongwaWasalaam wandugu...
Kabla sijamwoa alinijua kuwa Mimi ni muislam,aliniahidi kubadili dini ila nimpe mda.maisha yamesonga miaka imepita tumejaaliwa kuwa na familia
Siku za hivi karibun mwenzangu nikaona amenunua kitabu Cha tenzi za rohoni ...baada ya chakula cha jioni anaanza mapambio ndani...anakemea mapepo juzi Kati kaenda kanisani na kujitambulisha ameokoka.namuuliza mbona unavunja makubaliano anadai yeye uislam hauwez...niko njia panda hapa nawaza watoto ...sijui nifanyaje.wazazi wake hawanipi ushirikiano wowote.nisaidien tafadhal
Yani watu waliopendana waachane kisa midini ya kurithi?Mbona mnapendaga kujitesa sana wakati solutions ziko very open?.....
Kama kavunja makubaliano ya mwanzo basi piga chini kama na wewe huwezi kubadili dini.....
Simple like that, maisha yenyewe haya mafupi ya nini kuyafanya yawe magumu?....
Unforgetable
Kwamba akioa wa imani yake au akimslimisha hela zitajileta au sio?Mkuu.
Hapa usitumie hasira, relax hakikisha unatuliza Akili kudeal na hili Jambo.
Ukweli ni kwamba ulifanya makosa kukubali kuoa Binti asiye wa dini yako, Sasa Kama ni plan, you need to deploy plan B.
Nisipoweza kushauri ni hapa kuhusu watoto, ni wazi watatanga Sana.
U hali gani?
Teyari... huyu chalii no boyer...sina mengi.
Lakini kumbuka wote wanamuamini Mungu mmoja sa kivipi watengane kisa dini?Mbona mnapendaga kujitesa sana wakati solutions ziko very open?.....
Kama kavunja makubaliano ya mwanzo basi piga chini kama na wewe huwezi kubadili dini.....
Simple like that, maisha yenyewe haya mafupi ya nini kuyafanya yawe magumu?....
Unforgetable