Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,628
Kwahiyo ndoa ni jambo la kijinga dogo?!..............Kosa mnalofanya vijana kwa nyie wenye dini zenu ni kuendekeza tamaa za mapenzi bila kuangalia athari za baadae,hakuna mtu atakubali kubadili imani yake kwa jambo la kijinga kama ndoa kwani wa imani yake hawapo/hawaoni?
Owa wa imani yako hata huyu atakaekudanganya leo anabadili anakuwa na target zake mje kugawana mali baadae etc so njia nzuri na bora ya kujenga familia iliyokamilika ni kujenga na mwenzi mnaendana kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app