USHAURI: Simuelewi mume wangu

Yani acha tu ndugu yangu tembea uyaone yani kwajinsi ninavyojiweka ingekuwa ni mwanaume mwingne kwajinsi ninavyowajua ingekuwa kila dk anataka mzigo hata kazini nahisi angekuwa anachelewa
Nimekuita nikupe ushauri mtamu jmn
 
Acha tu Bora asiache ela ya matumizi nitavumilia Ila anipelekee Moto Kama ni vyakula kwetu nimeviacha vingi tu huku kwenye ndoa nmefata kitu kimoja tu
Nacho ni kupelekewa moto🀣
 
Mtahubiri sana tu...

Jamaa keshamzoea sana anamuona wa kawaida tu hana jipya!

Itahitaji approach ya kisaikolojia ili kumrudisha kwenye mstari!
Sasa kwanini amenioa alafu anikinai angeniacha niolewe na wengine huku ni kutesana tu hakya mungu
 
H
Acha tu Bora asiache ela ya matumizi nitavumilia Ila anipelekee Moto Kama ni vyakula kwetu nimeviacha vingi tu huku kwenye ndoa nmefata kitu kimoja tu
Haya sasa ndio maneno kuntu. Kwa mume umefuata de liboloπŸ‘
Au jamaa anapewa mtaro huko kwa mchepsπŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Dadadeki ebu njoo DM tuyajenge acha kuteseka wakati tunaojua kazi kwenye tasnia ya mahaba na .nyanduo tumejaa tele kama pishi la mchele njoo DM fasta sana.
 
Mbona una ongea kwa gadhabu namna hii
Tatizo inakera sana yani Kama hapa nimezidiwa alafu mwenzangu ndo kwanza anakoroma napata hasira mpaka linanijia wazo nimuangushie hata kabati
 
Huyo mwanaume karogwa na mchepuko.
Hakuna mwanaume ambaye hasisimki akiona mapaja ya mwanamke.
Hata paja la mwanamke chizi tukiliona lazima tudindishe.
1. Karogwa na mchepuko
2. Nguvu za kiume zimemkatikia.
Je, hiyo hali imeanza tangu tu mlipooana?
Na Mimi nahisi kalogwa maana Kuna wanaume nawafahamu Wana michepuko Hadi mitano lakini bado wakifika nyumbani wanatamani tena kufanya na wake zao Ila huyu dah! Mpaka nikikaa nawaza alichezea tu ela yake kwenda kulipa mahari maana hata hamna anachokifanya kwangu zaidi tu ya story
 
Je mumeo kiuchumi na kimaisha yupo vizuri hana stress?
 
Hiyo tabia ya mumeo niko nayo mimi A to Z,
Tatizo ni wewe na makwazo yako(bila shaka mumeo ni mkimya) ila wewe una mdomo sana lakini pia una choyo na mbinafsi yaani humsaiidii kwenye Mambo ya familia yenu( kipato chako ni chako tu ila chake unakitolea macho) yaani hushiriki kwenye ujenzi wa maendeleo ya familia yenu ni kama kila kitu umemuachia yeye kwakuwa ni kichwa cha familia.

Hayo ni kati ya yale machache ila kwa uzoefu tatizo ni wewe,kiufupi hujawa msaidizi wake(mke) bali upo kama hawala uliyevishwa pete ndani ya nyumba.....usipobadirika yatabaki mazoea tu kwa msaada wa hao watoto ila ndoa inaelekea ukingoni.
 
Kama anabeti sana Tatizo kuu liko hapo
 
Jichue tu for good,
Ukachepuka Umeharibu dada angu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…