Ushauri: Sijui kutongoza

Ushauri: Sijui kutongoza

Kutojua kutongoza pia ni kipaji mkuu. Sio wanaume wengi wanacho so just embrace it. By the way sio lazima utongoze ndio ung'oe totoz, smtimes inatokea automatically janga urafiki tu na wanawake unaowapenda, jifunze wanapendelea nn, fanya/ongea vitu wanavyovipenda.
Baada ya hapo utashangaa mpo kwenye mahusiano.
Hiyo ndo approach nzuri sasa. Mwenyewe nmekua kwenye mahusiano zaidi ya mara 5 na sijawai kutongoza ilitokea tu
Cc: Evelyn Salt
 
Kuna watu bado mnatongoza duu wenzenu tunawala kwanza ndo tunatongoza napo very rare
Inshu uwe na mkwanja tu
 
Kunywa damu mbichi, tafuna na muarobaini changanya na asali iliyoiva sagia na vitunguu swaumu pamoja na magadi soda yaliwekewa karanga kavu na mayai ya bata mzinga yenye manyoa ya sungura mabadiliko ndani ya siku tatu tu, usisahau kuleta mrejesho kwa faida ya wachovu wenzio.
 
Mtafute harmorapa umuulize njia anazotumia kung'oa watoto wa mjini kwa kasi ivo nadhani itakusaidia
 
OK usiogope wadada..kua nao karibu kama rafiki wa kawaida..hayo mambo mengine huwa yanakuja tu..
 
Wewe ni ndezi kama jamaa ang juz kaja kuniadisia et kapanda na manzi kwny bus dem kamwambia kapenda kampan yake wakipga story jamaa akadrop posta manz kashukia fery sasa kchaa anambia daa nimeogopa kuchukua no ilibid nimpe bao la mgongo ma tusi juu
Ungempiga konzi,kofi halina uzito kwa udhalilishaji aliotufanyia.
 
Jenga urafik tu hayo mengine yanajipa yenyewe... Sijawah tongoza toka nizaliwe hii style ya kujenga urafik na kuchat ndio nilikuwa naitumia.Hata mke Wangu nimempata kwa njia hii .Mkiwa mna chat tupia tupia vineno vya uchokoz akiwa kauzu achana naye huyo sio wako...anaye kupenda naye atakuchokoza
 
Back
Top Bottom