ikinyunyi
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,062
- 941
Mh umenickitisha, yan mm jana tu kw maana ya jana nmeachia nauli yng ya boda baada ya kumchek mrembo anatembea road pekeake, ile tumempita kdg tu nikamwmbia boda nishushe mwanangu nmefka, akabaki anashangaa...akageuza kurudi alikotoka huku ananiangalia naelekea wapi, wala ckumjali! Nmerudi mdomdo nikamfikia mrembo nikampa hi akaitikia, nikamtania akatabasam nikaona kidume nshachukua point3 muhimu, nikajitambulisha jina("unajina zuri" maneno yakamtoka) nae akanambia la kwake nkamuuliza unaendap akanambia nshafika hm ni pale, nami nkaulizwa naelekea wp nikazuga naenda chuo (kwny muelekeo tulokuwa nao kw mbele kuna chuo flan), kidume bila kuchelewa nikaomba celular#, sasa nlikuwa nna cm mbili tablet na kicm cha tochi, nikapangusa nitoe lock akanambia "kwa nn uciandike kwny cm ndogo?" (ni km alikuwa anachelewa hlf home palee...) nami nikamjibu kw kujiamini "cm ndogo haina salio", "Ok poa". Fasta nikamtema akaingia getini, me nikazuga km hatua tano mbele then nikarudi zangu nlikotoka. Kumbe bwana mchuchu ameniona cjui alikuwa ananichungulia, kwnz akanitumia txt "umesema unaitwa nani vile?" nkamjibu ( ile mida nlipombip kumbe hakusave), mara txt ya pili hii apa "halafu ****** (akanitaja jina) we muongo, umenambia unaenda chuo sa mbn unarudi ulikotoka?" Hahahaaa.....kidume nikakamatwa, ila km kawa mtt wa kiume kujiamini, nikamjibu "kiukweli*****(nikamtaja jina) nlikuwa naenda twn ila nlipokuona ikabidi nirudi tu japo nikusalimie" akajibu 'mmmmh uongo huo', chatting zikaendelea hadi sa6 ucku! Yan hadi xaiv ni mm tu, nikitaka muda wwt simba anaweza kwnd kula mifupa yake
NIMEONGEA SANA ILA LENGO NLITAKA NIKUPE TU JAPO KAUZOEFU KIDOGO ILI UJUE WENZIO TUNAANZAJE (NA PIA KUNA NAMNA NYINGI SANA YA KUANZISHA STORY KW MREMBO ULOMZIMIA)
NB: mapenzi ni sanaa lazma uwe mbunifu
NIMEONGEA SANA ILA LENGO NLITAKA NIKUPE TU JAPO KAUZOEFU KIDOGO ILI UJUE WENZIO TUNAANZAJE (NA PIA KUNA NAMNA NYINGI SANA YA KUANZISHA STORY KW MREMBO ULOMZIMIA)
NB: mapenzi ni sanaa lazma uwe mbunifu
