fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
Umetililika vizuri lakini hapa umeharibu, hiyo miaka 10 amepewa na nani?Kwa mantiki hiyo, nakushauri Rais wangu fanya maamuzi sahihi. Hata kama utatumbua majipu yote yaliyoota hapo ATCL, vijipu uchungu vitaendelea kujitokeza na hivyo utajikuta unafanya kazi ya kukamua majipu tu kwa miaka yako 10 bila ya ufanisi wa shirika hilo.