ushauri pliz: Nafikiria divorce


Thanx alot.

mi si Ayanda wa Isidingo but kiasi tunafanana but i have dreads anyway, kuhusu kusoma vitabu hilo ni IMPOSSIBLE.
 
acha kujifariji sababu hujapata mchumba hadi wa leo.

Ndoa ni nzuri sana best, acha kujifariji unaposikia majanga kama haya yangu.

pIA hao kina X na Z ndo nani? mi sina mpango na mwanaume yeyote.

hujanielewa

ulisema mwenyewe kuwa kunauliyekuwa nae b4 abae yuko 42 now na bado anakuhitaji ingawa anawatoto watatu au sivyo?
au hata ukisemacho hukikumbuki, then si kuwa ndoa huiitaji but you have marriage-frustration. pole
 

Yes even Lovers need a holiday ........http://www.youtube.com/watch?v=lpKoBCOjA3Q(even lovers need a holiday chicago)
 
ulisema mwenyewe kuwa kunauliyekuwa nae b4 abae yuko 42 now na bado anakuhitaji ingawa anawatoto watatu au sivyo?
au hata ukisemacho hukikumbuki, then si kuwa ndoa huiitaji but you have marriage-frustration. pole

aah

yani aah

anyway thanx kwa kuandika chochote
 
He he he! Imekula kwako.....K imeshachokeshwa sasa tafuta tu kibabu kitakachovumilia ubaridi!

ila tusi nililokupa limekumaliza. hakuna kipya utakachonitukana besty.

hilo tusi lako kwangu ni salamu tu ya asubuhi.

ila mama yako aliyezalishwa wewe then akaachiwa zigo la kukulea ndo imekula kwake mwambie aache maana k yenyewe ndo ishazeeshwa na baba zako wa kambo. Nasikia anatafuta viserengeti boys na anavipata sana tu pamoja na k kuzeeka.

mwambie aje tubadilishane, anipe contact za baba yako nimpe za mume wangu amshughulikie
 

inaonekana wewe ni mwanamke uliyekamilika shukurani sana kwa mawazo yako kikubwa ni kuheshimiana tu nje ya hapo hamuwezi ishi kwenye familia ndugu yetu avumilie asitegemee anakoenda atapata faraja bali faraja iko kwa Yesu.
 
Nimecheka sina mbavu na majibu haya hasa hapo penye red!
Kwa ufupi tu Ayanda na wewe unaonekana bado una mambo ya kitoto sana kulingana na niliyosoma issues zako kwa ujumla.
Pole na yote maana wanasema siri ya mtungi anayeijua ni kata.....................


 
inaonekana wewe ni mwanamke uliyekamilika shukurani sana kwa mawazo yako kikubwa ni kuheshimiana tu nje ya hapo hamuwezi ishi kwenye familia ndugu yetu avumilie asitegemee anakoenda atapata faraja bali faraja iko kwa Yesu.

hivi kuna mahali nimesema nataka kwenda sehemu?
 
Eee ndugu yangu Mimi yalishanikutaga kama yako ila sikutaka ushauri nilichoamua nikujisogeza na kuanza maisha mapya ya amani na sas maisha yangu si mabaya sana financial nk but tatizo nilirojifunza kupitia maisha haya hata ukiwa na mali nyingi km uko peke yako ni bure na hawa waubavu wetu wa leo walio wengi wao ni pasua kichwa unaweza ukahisi miaka 42 ni mtu kumbe nae ni vichomi tu ni vile mnakutana kwa muda mfupi nk hivyo ushauri wangu ebu kwa sasa kuwa wewe kwa muda na mengine yafuate najua ni ngumu kwan umri wako unaitaji mtu wa kukupenda na kukubembeleza ila mh sometime bora kuishi na shetani uliyemzoea kuliko malaika usiyemjua . mahusiano ni tatizo kweli pole my dear
 

thanx kwa ushauri ila kama umesome vema uzi wangu basi nilisema huyu wa 42yrs sina mahusiano nae. pia ninayetoka nae ni mwingine ili kujipa tu raha.

Pia sifikiri divoerce eti ili niende kwa mtu mwingine, NO nimewaza divorce sababu huyu hubby wangu amekua zezeta na si mwanaume mtawala anayenivutia mie.

Pia at my age, wala sitafuti mtu wa kunipenda wala kunibembeleza kwanza hata kudeka sijuagi maskini maana sikudekezwa na wazazi wala nani( i think being 1st born).

yani nipo tu kama nipo tu, nina marafiki wa ku-hang out nao na kucheka na kufurahia ujana but mapenzi is not in my mind. Na hata ingekua napata mtu, nahitaji mtu wa kua nae kirafiki na kupanga plans pamoja, ishu ya yeye kunipenda au kutonipenda sijui kunibembeleza haina mantiki kwangu.

ila nimependa kusikia toka kwako mwenye experience
 
acha kujifariji sababu hujapata mchumba hadi wa leo.

Ndoa ni nzuri sana best, acha kujifariji unaposikia majanga kama haya yangu
.

pIA hao kina X na Z ndo nani? mi sina mpango na mwanaume yeyote.

hujanielewa

nilikuwa sijui kwanini nakuadmire pamoja na kuwa tunatofautiana misimamo!
kumbe kulikuwa na kitu tunashare!
have courage soul sis!kuna siku utapata furaha ya moyo wako!
 
ayanda u're good!
kupo tu mahali kuna mtu alimess ur life imekubadili na kukufanya uwe ulivyo!
kimsingi hata raha tunayoamini wengne unayo kwa yuleeee shem wetu mwingine,deep inside ur heart wala haiko hivo!
dah!natamani nijue la kukushauri shosti wangu but naamini a good counscelor hatakiwi kuumia pamoja na mteja!
unaumia kiasi umejitengenezea ulinzi wa kuamini huumiii!
hebu jiruhusu kuumia juu ya hili!ili hata ukiwa divorced uwe na furaha ya moyo wako!
na furaha hii haipo ndani ya mtu mwingine!I NDANI YAKO!
 
Last edited by a moderator:

I am sorry dear, ni kweli hata mimi sikujui lkn tafadhari hata kama ushauri wetu unaonekana wa kipumbavu au sisi wapumbavu si ungejali hata muda tuliopoteza wa kujibu mada yako kwa kadri ya uelewa wetu. Kama tayari unawatu unaofahamiana nao sidhani kama ni busara kuiweka mada yako hadhari , ungewapm tu ingetosha. Kiukweli nimejisikia vibaya. Kumbuka unapoomba ushauri kwenye jamii kama hii yenye watu mchanganyiko lazima upate majibu tofauti tofauti sababu tupo tofauti.

Nakumbuka kule kijijini kwetu bibi yangu aliniambia , "kamwe usidharau ushauri wowote unaopewa na binadamu na usionyeshe dharau hata kama ushauri wao hukubaliani nao hiyo itakufanya uonekane umestaarabika, daima jifunze kushukuru".
 

ha ha ha hapo kwenye RED umepatia kidogo na umekosea kidogo.

raha na huyu jamaa ipo na nikiwa nae nakua very happy around him, and for sure i love this guy but ofkoz haniamini hata kidogo ofkoz na yeye ni type kama yangu haamini mambo ya love na hana emotions kama mimi.

naenjoy sana kua nae but i cant let these stupid feeling ziniendeshe na ndo maana hata mi huwa sijiulizi kama eti ananipenda ama nini cha msingi tupo sote na tunaenjoy each others company.

sasa sijui nyie mnadhani raha ni nini hasa? au mnadhani dushelele tu, ah
 


yaani mtu anapoandika comment na kuniita WE MALAYA anakua ameshauri nini?

angalia matusi yangu yote yanelekeezwa kwa comment zipi?

mimi ukinitukana nitakutukana na waungwana nawashukuru sana.

HABARI NDO HIYO
 

Kwa nijuavyo mimi tabia hizo ulizoainisha kama mtu unauhusiano nae kwa muda flani lazima utajua kuwa huyu hawezi kunicontrol au hawezi kuwa boss wa familia yangu yaani lazima bwana utajua. Nakumbuka kuna dada flani alikua na mahusiano na kijana mmoja. Kiukweli kijana yule alikua mpole, msomi n.k lakn tulishangaa baada miezi kadhaa dada alikuja kutuambia kua hayuko tayari kuolewa na yule bwana kwani yeye angetamani mwanaume wa tabia kama ulizosema. Tulishangaa sababu kijana alikua na tabia njema mno na hakua kicheche lkn mdada allikomaa na kusema hapana siwezi kuolewa nae. Sasa sielewi bado wewe ilikuaje hukujua mapema mume unaeolewa nae tabia zake !!!!!!!!!Si unajua unapokwenda dukani tayari unajua nini unataka sasa wewe pengine kwa bahati mbaya au nini hukujua type ya mume unaemtaka. Angalizo tu ni kuwa hata hao wa 42 wapo mazoba wengi so watch out.
 
tena nimekumbuka kitu

wewe si ndo ulikuja hapa juzi kati eti unataka kumuacha wife sijui ni mkorofi sijui anajibu short ama si wewe Kafman?

leo tena unajifanya eti ndoa ndo unaijua sanaaaaaa

aisee sisi binadamu wa ajabu sana

Kwa hiyo unataka kuniambia kuwa 2 jumlisha 2= 4 na 2 times 2=4,kwa kuwa jib ni 4 ni sawa? Wewe unadhani tatizo langu ni lako au mimi kuja kutaka ushauri na kuongeza maarifa toka kwa wadau ndo nilikuwa sijui kila kitu? We unadhani watoto unawajua wewe tu si ndio ee?Au ulitaka usiambiwe ukweli kutokana na tatizo lako? Pole na samahani sana na nisingependa nifanye ligi na wewe dada yangu!
 

Daaaah... Aisee we hushauriki hakiyamungu..

Anyway, ni wazo zuri, ial as long as huteseki kwa sasa, give it time, and within that time, dont think anything about it. Nikwambie kitu?... Bonyeza "pause" kwenye hayo mawazo yanayohusu ndoa yako na suala la kuachika... Ishi tu freely, bila kuliwazia chochote, then mwezi wa 11 (miezi sita kutokea sasa), Bofya "play" kwenye hayo mawazo...

Give time time.... you will know that time is the best healer...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…