Ushauri please!!

Ushauri please!!

kama unampenda kweli utamsaidia lakini kama una mpango wa kumchezea we chapa lapa. Inawezekana huyo binti maisha ya nyuma alipitia maisha magumu sana inawezekana wazaz au walezi wake walikuwa wakali sana kwahiyo akajikuta anaishi maisha ya kutojiamini,embu jitahid kujua background yake,ukikuta kuna tatizo anza kumchangamsha na kumsaidia kukutana na watu mbalimbali ukimjengea tabia ya kujiamini,pendelea kuzungumzia zile stori anazopenda unamshirikisha kwa upendo,unampa macare ya kufa mtu penda kujua kila wakat anafanya nini,viutan vizur vya kimapenz huku ukimthamini mbona ataanza kufunguka mwenyewe halafu atakuja kuwa talkative kuliko ww,pia inawezekana ikawa shule lakini nayo si kigezo tumia ndondoo hizo hizo hapo juu,zaid msaidie kumjengea tabia ya kujiamini kwmb mawazo yake ni mazur na unayathamin hata kama kaongea kisicho ww unapotezea unamrekebisha kiaina kwa upendo.

naomba unipe ruhusa niseme kinyume chake.
Huyu Hance Mbuya kwanza atuambie yeye kaona kikwazo ni huo ukimya tu ama anayoshida nyingine?? Sometimes a matured woman opt for keeping quite as a sign of showing her maturity. Habu nikuuliz suppose huyu mwnaume ni ule mzigi usibebeka yeye anajali mambo ambayo hayana mantiki halafu yale yenye mantiki hana mpango nayo what would you say??

Kwa mwanamke aliyekuwa kiakili atachagua kukaa kimya ili kuepusha shari na ili asiwekila saa yeye kazi yake ni kuzodoa tu. Mtu ni rafiki yako wa kiume hata siku moja ahaongelei maendeleo yeye ni muvi tu anaongelea ama miziki tu hajali ukimwelezea juu ya maendeleo hata umpe na hela za kufanyia maendeleo na ukamwelekeza bado kesho anakuja na tatizo lile lile halafu baadae anakuuliza vipi ile muvi ya jana??
Muvi ya jana?? ---- you !!!!!!!!!!!

Mm kabla mtu hajamlaumu huyu dada tumuulize huyu hance yeye anamapungufu gani??? Tena kama mm ndo huyo kadadaa na chapa lapa asbh kweupe.
 
Last edited by a moderator:
Jamani iko ivi kwa uelewa wangu mapenz hayajengwi na mwanaume au mwanamke pekee.Ila hujengwa na wote wawili.Ushirikiano katika kushauriana,kusaidiana ni mambo ya msingi katika mapenzi.Vyote haviwezi kufanyika kama hakuna upendo,nasema ivi kwa sababu huwezi kumpenda mtu asiyekupenda.Na love kama haipo kwa mwanamke ni rahisi kwa mwanaume kugundua na kuchukua uamuzi,kwa mwanamke anaweza akagundua lakini asifanye chochote.
Kwenye swala la movie si kwamba nimetoa kama kigezo cha huyu mwanamke kukifanya,ila nimekitoa kama mfano tu..
 
naomba unipe ruhusa niseme kinyume chake.Huyu Hance Mbuya kwanza atuambie yeye kaona kikwazo ni huo ukimya tu ama anayoshida nyingine?? Sometimes a matured woman opt for keeping quite as a sign of showing her maturity. Habu nikuuliz suppose huyu mwnaume ni ule mzigi usibebeka yeye anajali mambo ambayo hayana mantiki halafu yale yenye mantiki hana mpango nayo what would you say??Kwa mwanamke aliyekuwa kiakili atachagua kukaa kimya ili kuepusha shari na ili asiwekila saa yeye kazi yake ni kuzodoa tu. Mtu ni rafiki yako wa kiume hata siku moja ahaongelei maendeleo yeye ni muvi tu anaongelea ama miziki tu hajali ukimwelezea juu ya maendeleo hata umpe na hela za kufanyia maendeleo na ukamwelekeza bado kesho anakuja na tatizo lile lile halafu baadae anakuuliza vipi ile muvi ya jana??Muvi ya jana?? ---- you !!!!!!!!!!!Mm kabla mtu hajamlaumu huyu dada tumuulize huyu hance yeye anamapungufu gani??? Tena kama mm ndo huyo kadadaa na chapa lapa asbh kweupe.
Asante gfsonwin kwa kuona jicho la tatu, nami nililiona ila nikapuuzia nikaiacha ktk maana hiyo nyingine,kweli kama mtu hana habari mpya za kimaendeleo lazima msichana awe mute, funguka nawe kaka yetu upande wako nawe umekaaje? Isije ikawa tunahangaika kutoa boriti kwa msichana kumbe nawe una kibanzi!
 
Last edited by a moderator:
Jamani iko ivi kwa uelewa wangu mapenz hayajengwi na mwanaume au mwanamke pekee.Ila hujengwa na wote wawili.Ushirikiano katika kushauriana,kusaidiana ni mambo ya msingi katika mapenzi.Vyote haviwezi kufanyika kama hakuna upendo,nasema ivi kwa sababu huwezi kumpenda mtu asiyekupenda.Na love kama haipo kwa mwanamke ni rahisi kwa mwanaume kugundua na kuchukua uamuzi,kwa mwanamke anaweza akagundua lakini asifanye chochote.Kwenye swala la movie si kwamba nimetoa kama kigezo cha huyu mwanamke kukifanya,ila nimekitoa kama mfano tu..
Funguka vizuri Hance Mbuya yaani ushirikiano upi? Na unaona hupendwi kivipi? Yaan tena siyo km ulivyosema hapo juu?kwmb hawezi kufanya maamuzi yake? Au vipi?
 
Last edited by a moderator:
Take time kumsoma ni vipi anapenda na vipi hapendi,to know a woman its hard but very simple techniques u can use unamjua,know her hobbies and try kuiga na wewe akikuzoea atafunguka tu,so far mwaka mmoja ni bado kumjua in deep,kua nae most of the time,na mshirikishane mambo yenu ya kimaisha,huzuni,shida na misukosuko,si kuongelea raha tu kilasiku atakuona sio real! Ni hayo tu bob,halla!
 
Ungekuwa wewe ni mkimya nae ni wewe ungejiskiaje
ANYWAY

UKIMYA NI TABIA KAMA ZILIVYO TABIA NYINGINE,IWAPO HAIKUPENDEZI NI VEMA UWE WAZI KWAKE nijuavyo mimi tabia ni ngozi ya mwili si rahisi kuibadili TAFUTA MUONGEAJI uone gharama za UVUVUZELA.
La msingi usitafute sababu ya kumuacha huo ndio upekee uliokufanya umpende.
 
Hizi standards nyingine bhana duh!!!
 
Ungekuwa wewe ni mkimya nae ni wewe ungejiskiaje
ANYWAY

UKIMYA NI TABIA KAMA ZILIVYO TABIA NYINGINE,IWAPO HAIKUPENDEZI NI VEMA UWE WAZI KWAKE nijuavyo mimi tabia ni ngozi ya mwili si rahisi kuibadili TAFUTA MUONGEAJI uone gharama za UVUVUZELA.
La msingi usitafute sababu ya kumuacha huo ndio upekee uliokufanya umpende.

Hujanielewa,ukimya wake haujanifanya niombe ushauri hapa kwani ni interest ya kila mtu katika maisha yake.Point hapa ni kuwa hana anachowaza kwanza ktk maisha yake,kuanzia malengo na maisha yake kiujumla.Ni mtu ambaye hata kuamua jambo hawezi.Pia hata kama nitaamua kufanya kitu iwe ni cha maana au si cha maana hawezi kusema hiki usifanye au kile fanya.Mfano pia katika sexy nikimuuliza kuhusu swala la condom anajibu,vyovyote utakavyo kutumia au kutotumia.Namuuliza ukipata mimba je? Anajibu,kwani utabeba ww si nitabeba mimi.Na anajibu hivi na bado yupo kwao.Hata swala la kupima mm ndo nilimshauri twende tukapime HIV.Hapo vip nimesomeka?
 
Back
Top Bottom