mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,286
- 6,729
Wanafundisha stadi zote za maishaVeta wanafundisha ufund simu?
Wanafundisha stadi zote za maishaVeta wanafundisha ufund simu?
Stadi za maisha ni pana ikiwa ni pamoja na ufundi wa kila ainaMimi nataka ufundi simu, stad za maisha si zipo kila sehemu
Hakuna mkuu ila mwaka 2012 ilikuwepo sasa wameiondoaVeta wanafundisha ufund simu?
uwe unajuwa Electronics kwenye simu kuna resistors. capacitors,transistors.diodes,regulators,ics,inductors, n.kmuhimu ni uwe na uelewa mpana wa masuala ya simu,matatizo yake. ujue kipi kikishindwa kufanyika kipi ni chanzo mfano simsikii anaenipigia unaweza angalia
1.settings za volume,if is ok go to next step
2.pima resistance ya speaker ya simu. tumia multmiter etc kama si nzima replace kama ni nzima goto next step
3. pima connection za speaker circuit, pima connection(multimiter) kama itaonesha tatizo unaweza fanya jumper. au kureplace kilicho kibovu.
huo ni mfano wa kujifunza kwa haraka ufundi simu;
uwe na muda na mtulivu mwenye kutumia fikra kisawasawa maana pesa ya mteja utaipokea tatizo unalitatuauwe na ujui wa Electronics kwenye simu kuna resistors. capacitors,transistors.diodes,regulators,ics,inductors, n.k
Hah hah hah umenikumbusha siku nilikuwa napima mic ktk simu njia iko powaaah diode,resistor,capistor safiii lakin mic haifanyi kazi sikutaka kupoteza muda nilimwambia nteja hii peleka Kariakoo hah hah KISA SIKUTAKA KABISA KUUMIZA KICHWA.uwe na muda na mtulivu mwenye kutumia fikra kisawasawa maana pesa ya mteja utaipokea tatizo unalitatua
Nahitaji blower, naipataje mkuu.Sijajua uko wapi ila kwa vifaa tu vya simu ukiwana laki tano inafaa kwa kuanzia kama huna hiyo hela unakuwa unachukua oda ya mteja na analipa nusu ya bei
Mkuu mi niko kijijini ila kwa watu walioko dar wanaweza kukuunganisha na wanao uza hizo blower hasa walio maeneo ya kariakoo kule ndo uhakika wa kuipataNahitaji blower, naipataje mkuu.
Duka la vifaa mtaji
Dongo 200000
Miracle 300000
Brower digital 120000
Mita 15000
N.k
Spera za kuazia kama tach n.k 2000000 kwa uchache sana
Piga hesabu apo usisahau kodi n.k
Asante mkuu.Mkuu mi niko kijijini ila kwa watu walioko dar wanaweza kukuunganisha na wanao uza hizo blower hasa walio maeneo ya kariakoo kule ndo uhakika wa kuipata
Pamoja mkuuAsante mkuu.