Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Usifananishe pombe na mambo ya kijinga.

Fyi
Windhoek ni sh 2,500.

Boondocks wapi huko windhock inauzwa bei hiyo wakati samki samaki ni 5,500. Fish Market ni 5,500 na papichulo ni 3,000. four ways 3,000. Sai sai ni 4,000, Shhoters ni 6,000 Jakis 3,000 Didis ni 3,000 Trinity 5,000
 
*Heshima kwa walevi wote*

Hawa jamaa wana sifa zote nzuri na mbaya moja tuu ya ulevi.

1. *Wanajitoa sana*
Hawa jamaa wanatoa sana sadaka na rambirambi. Angalia hata kwenye magrupu yenu ya watsapp na fb. Utaniambia.

2. *Si mabahili*
Hawa jamaa wanajitoa sana kwa kila kitu. Na huwa hawapendi ku bargain. Yaani mwambie inahitajika 10,000 atakupa bila kuuliza ya nini?

3. *Sio waoga wa kufanya maendeleo*
Hapa angalia idadi ya walevi walio na magari na nyumba. Afu angalia waso kunywa pombe wana nini?, wamepanga au wanajenga?

4. *Wana peana mawazo kuntu wakiwa bar*
Hawa jamaa wanapo nunuliana pombe huwa wanapeana michongo ambayo asiye mnywaji wa pombe hawezi ipata.

5. *Ndoa zao zinadumu muda mrefu*
Hawashindi nyumbani muda mrefu inawafanya ndoa zao zidumu, kwakuwa hawana muda wa kukaa na kuanza kugombana na mke wake, wala kujadili upuuzi.

*Jitahidini kunywa pombe kwa maendeleo yako na ya Taifa*

*Kama si mlevi jitahidi kufuata kanuni za walevi hapo juu, najua itakuwa ngumu*

Kwakweli najivunia kuwa MLEVI
heshima kwako mkuu
 
Mtoa mada

Ww una hisa CRDB??

Ww una IQ kwa kusoma??
Nk

Maisha ni kuchagua na kichagua ni.kuamua

Mda unaopoteza kusoma vitabu mimi nitasoma.articles na then nakutana na.majamaa huku tunapata.bia na.kudiscus mambo msingi

Wala soda.ndio wanaongoza kuwa na mawazo ,stress kibao..wkt ww unapoteza muda kutafakar mm naenjoy beer juu kiti kirefu

Unasema uongo wanaongoza kuchepuka ni wale ambao hawatumii beer au wanakunywa bia kwa lengo la kupata girls...mlevi.mashuhur huwez poteza muda kisa mapenz na kuacha bia....umetudharau sana mkuu

Omba msamaha kufananisha ulevi wa beer wa vitu vya kijinga kama mapenz

Na pia jua ktk ulevi wa pomne wapo wasio jielewa ambao pombe zina wana control na sio wao wana.control pombe

Kwa ushaur wako ungezumzia wale wasio weza.kujicontrol

Hivi wajua mlevi wa.pombe anae jielewa ni afadhali kabisa kuliko mtu ambae amekuwa addicted na.DINI??

Ulevi sio pombe tuu sema wengi hawana pesa.ndio wanatafuta vijisababu ,wangekuwa nazo.na wao wangekuwa wanatungua kama kawa

Ulevi mwingine.ni
DINI
DRUGS
POLITICS
EDUCATION
NK
we jamaa nakuelewa ujue
 
Usifananishe pombe na mambo ya kijinga.

Fyi
Windhoek ni sh 2,500.
Hizo.beer za kwenye.vyupa vya kijani nazo mnaita pombe mkuu??

Mwanaume simama na.kitu mchupa brown au jizee la upako

Hizo.castre lyt,ndovy,Heineken,windoloek

Tuachie wadada tu jamaaa

Piga lager au.shusha lusekelo mikono...
 
Ni Kazi kubwa sana Binadamu kubadili tabia,
Ulevi ni tabia ya mtu na Ulevi una hasara nyingi tukubali au Tukatae.

Mfano.
kama unakunywa Bia Tatu kila siku weekends unakunywa tano ina maana unakunywa Bia 25 kwa wiki, Na nyie wa maofisini mnaknywaga windhock na Heineken that means ni Tshs. 3000 kwa bia.

Kwea mwezi ni 100 Beers at minimum kwa mfano hii 300,000 kila mwezi ungekua unanunua hisa za CRDB leo ungekua na hisa ngapi?

Ni mambo mangapi umefanya kwaajili ya ulevi yakakusabishia hasara?

Ukiajiangalia kwenye kioo huoni adhari za pombe usoni mwako?

Ni dini ipi inarhusu ulevi?

Muda unaotumia kulewa ungekua unasoma vitabu leo IQ yako ingekuwa tofauti kabisa!!!

Ni mara ngapi pombe imekupeleka kwenye mchepuko.

Ni mara ngapi unatoka Mbezi unaenda kunywa Tabata? hiyo gharama ya usafiri unaipigiaga mahesabu.


Hatua ya kwanza kuacha kunywa ni kuyawaza hayo hapo juu na mengine, ukishachukua hatua sasa naacha au napumzika jiwekee malengo.

Anza mazoezi, jioni unapotoka kibaruani fanya jogging! uchoshe mwili, ukienda kuangalia mpira bar agiza chupa yako kubwa ya maji ya kilimanjaro, au coka na maji mdodo mdogo unazoea.

Hali ni ngumu wazee, tupunguze matumizi yasiyo ya lazima
HIsaa ZA NINI AJE KUMJAMBISHA MUHINDII KSA ALAKIMBILI TIMU NNE AONE NDOTO YA...
 
Ha ha ha ha ha, Haiwezekana wote wakaacha ni ngumu sana jombaa, Mimi nashauri kwa yule anayeweza kuacha aaache, na ninaamini kuna faida nyingi sana kwa anayeacha pombe kuliko hasara


Nakuambia nchi itasimama, walevi tunaisaidia sana nchi iende, na ndo maana tunalindwa sana na sheria tukiwa bar... Njoo kwenye mazingira yangu ya bar nikupasue kichwa uone kama nitashitakiwa....
 
Hongera mkuu kwa uamuzi wa thamani maishani.
Zaidi ya kufanya mazoezi, Jijengee utamaduni wa kusoma kitabu cha dini au chochote cha kujenga kabla ya kulala usingizi utakuja ukija usiuzuie uzime taa na simu ulale.

Vitu vinavyoondoa usingizi.
1:Chumba chenye mwanga. Hakikisha kuna giza la kutosha ili Homorne ya usingizi (Melatonin) itolewe ya kutosha maana ni inaathiliwa na mwanga. Hii inaenda mbali hadi kulala na simu, smartphone ule mwanga unaathiri usingizi.

Kuna kitabu naweza kukuPM ukipenda kinaelezea Historia ya Usingizi na mambo yote kuhusu usingizi.
 
Back
Top Bottom