Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Chuoni hata ukiwa star hakuna anayejali.

Watu wako bize na mambo kibao; kusapua, kukimbizana na malecturer, presha za kufeli, kumisi mitihani ya kushtukiza. nk!

kiufupi ni mchakamchaka na hakuna nafasi ya u-star wala ubitozi!


Halafu ubishoo chuoni haulipi, utaonekana kituko tu watu watakudharau hata kama hawatakwambia.

mwisho, usali sala zote upate mkopo!! ukiukosa mkopo hata huo ubishoo wako wa ndotoni utausahau.

Karibu chuoni.
Ushauri mzuri sana hawa dot.com wanashida sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tafuta wahuni wakule Tigo kisha nenda kwenye vyombo vya habari kutangaza halafu omba kuongea na wanachuo wenzako anza kutetea haki za waliwa tigo
 
Huwezi kuwa star kwa watu wote zaidi ya 4000 na kila mmoja anaingia class yake kwa muda tofauti na wako,munaishi sehemu tofauti na kila mtu na interest yake,akili za kilofa hizo,halafu finally utanufaika na nini?we bado MSHAMBA SANA PIMBI,KORO,BOYA.
 
Nawauliza wazee wa chuo Kiki gani inaweza kunipeleka nikawa talk of the collage nikiwa nasubiria loan breakdown na first batch ya kupangiwa chuo ninaumiza kichwa ni vip naweza nikawa habar ya mjin advance nilikuwa na crew ya mabishoo boys 3 na dem moja tukawa Muda wote tuna hangout pmj ikawa crew famous japo maticha walikuwa wanoko Lengo langu ni Kuwa star nipen mbnu wanangu Ambao mshatia mizizi chuo km pamba zipo Sina waswas bado PC tu nikamilishe ushaurini wenu Wana

Wa kishua
Khaa na wewe ni miongoni mwa watanzania tutakao wategemea kama wasomi ndani ya tanzania ya viwander

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom