Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Huwezi kuwa star kwa watu wote zaidi ya 4000 na kila mmoja anaingia class yake kwa muda tofauti na wako,munaishi sehemu tofauti na kila mtu na interest yake,akili za kilofa hizo,halafu finally utanufaika na nini?we bado MSHAMBA SANA PIMBI,KORO,BOYA.
We paka katawaze kwanza ndo urud

Wa kishua
 
Dogo umaarufu wa chuo haukusaidii chochote ..baada ya miaka mitatu au minne kila mtu atafata mambo ake ..na umaarufu ndo huishia hapo.

Ila kama unataka gombea nafasi yoyote ya uongozi kweny serikali za chuo ...hata u cr(class manager) au uwe kipanga wa esabu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifika chuo tu anza ushoga, Au kama utaamua kuanza hako kamchezo kipindi hiki unangojea chuo itakua poa zaidi ili ukifika chuo uwe mbobezi wa kupumuliwa
Hapo naamini utamzidi hadi James Delicious kwa umaarufu

Fame comes with Costs

Sent using Mche wa sabuni
 
Ukifika chuo tu anza ushoga, Au kama utaamua kuanza hako kamchezo kipindi hiki unangojea chuo itakua poa zaidi ili ukifika chuo uwe mbobezi wa kupumuliwa
Hapo naamini utamzidi hadi James Delicious kwa umaarufu

Fame comes with Costs

Sent using Mche wa sabuni
Ushauri mbaya

Wa kishua
 
Dogo umaarufu wa chuo haukusaidii chochote ..baada ya miaka mitatu au minne kila mtu atafata mambo ake ..na umaarufu ndo huishia hapo.

Ila kama unataka gombea nafasi yoyote ya uongozi kweny serikali za chuo ...hata u cr(class manager) au uwe kipanga wa esabu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Okay nitafikiria nakukubali broo

Wa kishua
 
Cha msingi achana na mpango wa kwenda chuo,nenda zako BSS km vp!

bichwa baya
 
nenda kwa mganga au friimason wakupe nyota ya kufahamik

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
409539_287570561293049_100001203218224_894827_1384030661_n-jpg.45024



1465723090968-jpg.355953
 
Back
Top Bottom