Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Nawauliza wazee wa chuo Kiki gani inaweza kunipeleka nikawa talk of the collage nikiwa nasubiria loan breakdown na first batch ya kupangiwa chuo ninaumiza kichwa ni vip naweza nikawa habar ya mjin advance nilikuwa na crew ya mabishoo boys 3 na dem moja tukawa Muda wote tuna hangout pmj ikawa crew famous japo maticha walikuwa wanoko Lengo langu ni Kuwa star nipen mbnu wanangu Ambao mshatia mizizi chuo km pamba zipo Sina waswas bado PC tu nikamilishe ushaurini wenu Wana

Wa kishua
Kuwa na pesa,,, boom likikata wagawie wanachuo ...hutosahaulika mkuu na huu usawa wa uncle magu..
 
Ili uwe star chuo lazima uwe kipanga darasani yaani ikiwezekana uwe wa kuanza class, gpa kubwa then utakuwa star class. Baada ya hapo washikaji class wataanza kuwapa habari zako watu wa kozi nyingine na hii utakuta kozi zote chuoni wanakujua
 
unadhani chuo kuna mambo ya kitoto namna hii? Yaani uwe star wa chuo kizima wewe umekuwa UE? Star peke ambaye anajulikana na kila mtu hata wale wala bata wasioingia class ni UE. UE in maarufu kuliko hata VC.
 
We ukifika chuo mambo ya mamsuli cjui temana kabisa kula bata sana nn ongaaa usiwe na nizam na pesa ivo tuu utakua midomon mwa watu
 
Chuoni hata ukiwa star hakuna anayejali.

Watu wako bize na mambo kibao; kusapua, kukimbizana na malecturer, presha za kufeli, kumisi mitihani ya kushtukiza. nk!

kiufupi ni mchakamchaka na hakuna nafasi ya u-star wala ubitozi!


Halafu ubishoo chuoni haulipi, utaonekana kituko tu watu watakudharau hata kama hawatakwambia.

mwisho, usali sala zote upate mkopo!! ukiukosa mkopo hata huo ubishoo wako wa ndotoni utausahau.

Karibu chuoni.
 
Ili uwe star chuo lazima uwe kipanga darasani yaani ikiwezekana uwe wa kuanza class, gpa kubwa then utakuwa star class. Baada ya hapo washikaji class wataanza kuwapa habari zako watu wa kozi nyingine na hii utakuta kozi zote chuoni wanakujua
Ushauri mzur asant broo

Wa kishua
 
unadhani chuo kuna mambo ya kitoto namna hii? Yaani uwe star wa chuo kizima wewe umekuwa UE? Star peke ambaye anajulikana na kila mtu hata wale wala bata wasioingia class ni UE. UE in maarufu kuliko hata VC.
Aaaaaaah broo acha kuntisha

Wa kishua
 
Back
Top Bottom