Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

409539_287570561293049_100001203218224_894827_1384030661_n-jpg.45024



1465723090968-jpg.355953
Aya katawaze urud

Wa kishua
 
Kua very social piga pamba kali yan kali haswaa kua na hela af kua na akili ukienda kwenye madiscussion unakua we ndo kichwa pia usisahau kugombea uongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu chuo ana GPA ya 4.9 na hafahamiki ata na wanafunzi anaosoma nao kozi moja ww unataka umaarufu chuo??TEMBEA UCHI KUANZIA LECTURE ROOMS HADI UNAPOKAA

Mungu Ni Mwema
 
Back
Top Bottom