Ocean road
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 631
- 304
- Thread starter
- #41
bata kawaida yangu mzee babaWe ukifika chuo mambo ya mamsuli cjui temana kabisa kula bata sana nn ongaaa usiwe na nizam na pesa ivo tuu utakua midomon mwa watu
Wa kishua
bata kawaida yangu mzee babaWe ukifika chuo mambo ya mamsuli cjui temana kabisa kula bata sana nn ongaaa usiwe na nizam na pesa ivo tuu utakua midomon mwa watu
Unanikatisha tamaaChuoni hata ukiwa star hakuna anayejali.
Watu wako bize na mambo kibao; kusapua, kukimbizana na malecturer, presha za kufeli, kumisi mitihani ya kushtukiza. nk!
kiufupi ni mchakamchaka na hakuna nafasi ya u-star wala ubitozi!
Halafu ubishoo chuoni haulipi, utaonekana kituko tu watu watakudharau hata kama hawatakwambia.
mwisho, usali sala zote upate mkopo!! ukiukosa mkopo hata huo ubishoo wako wa ndotoni utausahau.
Karibu chuoni.
Na hiyo ndo maana ya star sasa maana atakuwa ameonyesha juhudi flaniKuwa na PESA nyingi, wote chuoni watakujua@
Aaaaaaah broo acha kuntisha
Wa kishua



bata kawaida yangu mzee baba
Wa kishua







Onyo kwa Conor na muosha runguNawauliza wazee wa chuo Kiki gani inaweza kunipeleka nikawa talk of the collage nikiwa nasubiria loan breakdown na first batch ya kupangiwa chuo ninaumiza kichwa ni vip naweza nikawa habar ya mjin advance nilikuwa na crew ya mabishoo boys 3 na dem moja tukawa Muda wote tuna hangout pmj ikawa crew famous japo maticha walikuwa wanoko Lengo langu ni Kuwa star nipen mbnu wanangu Ambao mshatia mizizi chuo km pamba zipo Sina waswas bado PC tu nikamilishe ushaurini wenu Wana
Wa kishua
Napenda Kuwa star brooUstar huwa unakuja wenyewe
Ila nikuulize unataka huo u-star ili ukusaidie nn ? Kama ni kufahamika tu mdogo wangu achana na hayo soma...
Nikila bata nitakuwa star?Sasa kumbe cha kufanya unajua unauliza nn ss![]()
Acha shobo ninjaOnyo kwa Conor na muosha rungu
Nifundwe namna ya kutumia private message nawatext madem ni nawakubalii
Bajeti ya chupi ni ya dume
Demi& Maserati
mahandw
emmyta
mko wapi?
Kwa uzoefu wangu wa maisha ya chuo, ukiendelea na mawazo ya kijinga kama haya alafu ukapangiwa vyuo vnavyojua maana ya elimu, basi jua utapata shida sana chuo na wenda hata usimalize chuo!!
Sikuhukumu ila natoa tu kama onyo!!
Acha shobo ninja
Wa kishua
Asante broo nitawakilishaNGOJA nikupe njia mm niliyotumia Hakikisha ww kichwa kinachaji sana Material yote ya darasani hakikisha unayo Notisi past pepars, Vyaa pamba za ukweli Vaa jeans na T-shirt Kali , chomekea sana, kuwa msafi , Presentation Fanya kwa KIWANGO cha juu sana vizuri na cofindence ya kutosha bila kusoma kwenye kitabu hakikisha umemeza kila kitu ww unatema tu , ukifika chuo, Alafu hakikisha unakuwa na nafasi ya uongozi chuo, ila kikubwa akili iweinafanya kazi sana na unafundisha watu .,kuwa karibu na walimu sana chuo kila somo unalosoma ujee kila kitu kinachoendelea hata k utapata tu kama unataka zakutosha kabisa Juu ya yote nenda chuo kasome (Soma sana) alafu ukisha meza uwe unatema tu uwe social yaani jichanganye na watu wengi wengi ila sio wahuni na wavuta bangi utakuja kuniambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante broo eee Sasa km hakuna kengele apo barida mi huwa nalala kinoma ad saa Tatu ndo nadamkaJua chuo sio sekondari, jua chuo hamna kengele, jua chuo hamna atakaye kwambia usifanye hiki au fanya hiki!! kwa kifupi unakufa kivyako!! Mwisho wa siku, mwisho wa mwaka ndio utavuna ulichopanda!!
Na kama ulipanda mahindi usitarajie utavuna nyanya!!
Nakutakia kila heri!!
Nimecheka kwa sautiKuna njia mbili.
1. Kuwa kichwa, ukiwa kichwa kila mtu atakutafuta umuelekeze masomo.
2. Kuwa mkia, ukiwa mkia kila mtu atakutafuta hili ashike mkia wako.
"Behold, how good and how pleasant it is for brethren to dwell together in unity."Maza alikuwa anakula namimi bampa to bampa nilishndw kujiachia homeUngejipanga mapema yaani uwe maarufu Tanzania nzima kama chemical ili ukifika chuo kila mtu awe anakujua yaani uendeleze tu umaarufu ila kama ni umaarufu wa kuutafuta chuoni bhasi sahau....
labda uwe shoga ama msagaji ambaye yupo open si unajua ABNORMALITY MAKES POPULARITY ..Apart from that SAHAU
Sent using Jamii Forums mobile app