Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Ushauri, njia ipi simple ya Kuwa star chuo?

Nilikua toz first yr ud hapo.nilichoambulia sem ya kwanza nilijuta,..kuna nyanga huwez kua toz kijana,labda uwe pspa au
 
dah utoto raha nakumbuka nilipokuwaga chuo nilikuwaga na kademu changu tunafatana kila mahali km kuku au kumbikumbi tulikuwa couple maarufu sana kwa miaka mi3 tulikimbiza couple zote za pale chuoni

G.O.M.D
Ulijuaje

Wa kishua
 
Umeleta ujnga wamekupa upumbavu
Ila jitahd class

Au paki range moja namba D
Maswagga kbao
Piga manukato ya pesa ndefu kama chibupafyumu


Uwe na mfuko wenye kesh kama mm hvi
Haina noma pamba nishajipanga

Wa kishua
 
Kua modal falan hivi..piga picha za ukweli..ikibidi hata za nusu uchi..kisha share kwenye magroup yoye chuoni...sikufichi chuo kizima kitakufahamu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningekuwa mm ningeweza hizo njia za kuondoa umasikini aisee kuliko zako hapo juu
3b181b97c7a1fb1a5f982fe2b0432c00.jpg
 
mtafute harmorapa atakupa mbinu si za kutambulika chuoni bali hata nje ya chuo.
 
Ukifika chuo tafuta ofisi ya dean of students ukimkuta kama ni ke au me we mpige ngumi ya taya mtemee na mate utakuwa maarufu kweli kweli.
 
Kudisco. Utafahamika chuo na mtaani.
Unapenda ustaeee?
 
Nawauliza wazee wa chuo Kiki gani inaweza kunipeleka nikawa talk of the collage nikiwa nasubiria loan breakdown na first batch ya kupangiwa chuo ninaumiza kichwa ni vip naweza nikawa habar ya mjin advance nilikuwa na crew ya mabishoo boys 3 na dem moja tukawa Muda wote tuna hangout pmj ikawa crew famous japo maticha walikuwa wanoko Lengo langu ni Kuwa star nipen mbnu wanangu Ambao mshatia mizizi chuo km pamba zipo Sina waswas bado PC tu nikamilishe ushaurini wenu Wana

Wa kishua
Aiseee......
Wazazi wako tayari wamesha pata hasara wallah....
 
Ukifika chuo tafuta ofisi ya dean of students ukimkuta kama ni ke au me we mpige ngumi ya taya mtemee na mate utakuwa maarufu kweli kweli.
Asante dada ila spend kudundana

Wa kishua
 
Back
Top Bottom