EEX
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 4,130
- 13,378
Sipashagi makabichii.Dear Ex by Marioo🎵🎵🎶🎶🎶
Sipashagi makabichii.Dear Ex by Marioo🎵🎵🎶🎶🎶
🤣🤣🤣Sipashagi makabichii.
Kweli tena siendi, kwanza nikikumbuka matukio ya nyuma...na mlivyoona hapo ni red flag!!! Acha ikae.Kumbe ka moyo kanamtaka, tukikuzuia utaenda tu mi naona fanya moyo wako unachopenda ila kinga ni muhimu
Nb limbwata nayo ipo huwezi juwa anakuwazia nini
Halafu niikule kama samaki sio?Mtihani ni nini tena? Hapo wee mwambie njoo lodge flani tuchakatane basi
Nipigie pass ya upendo mzeya nikamalizie kama de limaHalafu niikule kama samaki sio?
Ila hapana, itabidi nifuate ushauri mkuu. Wacha ntakupa through pass ufanye yako.
Ushasema, tupatane DM. Cheza kama wewe.Nipigie pass ya upendo mzeya nikamalizie kama de lima
maliyamtu..............(hapa nimekuita kwa sauti)Mkuu pole sana wanawake tuna mambo mengi sana ya kishenzi. Hiyo pisi imekosa furaha na matunzo ndo ikakumbuka mfupa aloutema zamani.
Sasa kama unaweza jikaze tu hata hyo mbususu usile atakufanya chuma ulete huyo.
I love the way you replySijasoma ila nafikiri ukaushe tu
Msitu mpya lakini nyani walewaleKamiss huduma zako na si wewe mwenyewe.
Sasa hapo akili mukichwa. Kama una pesa za mchezo rudi tena ukadharaulike huku ukiwa unahudumia na safari hii sio yeye tu utahudumia mpaka mtoto wa mwanaume mwenzio.
Daima katika mahusiano mpaka mkifikia kuwa ma 'ex' elewa ni kwa sababu na daima hizo sababu huwa hazibadiliki as long as wahusika ni wale wale ikimaanisha tabia zile zile.
Thank you sir!I love the way you reply
Yes of course wanawake wema Bado tupo ila had umpate ni balaaAhsante mkuu, sio wanawake wote wako hivyo lakini naona huyu mwenzenu ndio anawavurugia. Kama sio kukimbilia humu kupata ushauri....sijui ningekuwa wapi.
Mimi nipo hapa kaka angu
Kuna itika yako ile ya zamani ilikuwa inanipagawisha~ga hatari. Nakusabahi sana mkongwe mwenzanguMimi nipo hapa kaka angu
Ngoja kwanza mechi ya Yanga iishe stress zitulie.Yes of course wanawake wema Bado tupo ila had umpate ni balaa
Ahhh nimezeeka sikuhizi ndugu yangu mambo mengi yamepunguaKuna itika yako ile ya zamani ilikuwa inanipagawisha~ga hatari. Nakusabahi sana mkongwe mwenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila la kheri mkuuNgoja kwanza mechi ya Yanga iishe stress zitulie.
Ila ni kweli, naamini ntajitwalia mwali mwema.
Ukumbuke Mimi na wewe tunazeeka pamoja, au umesahau ? maliyamtuAhhh nimezeeka sikuhizi ndugu yangu mambo mengi yamepungua