Ushauri: Nini nifanye ili mwanangu aweze kuendelea na masomo mwaka huu?

Nini sababu ya kukosa visa kama alipata shule?
 
Wasiliana na jamaa mmoja kwenye tiktok anajiita ebm scholars anaonekana ni mtaalamu wa marekani anaweza kukusaidia
 
Usihuzunime wala kufikiria kipoteza pesa zako nje ya nchi. Pale Usagara, Missungwi, Mwanza njia ya kwenda Kivuko cha Kigongo (Daraja la Magufuli) kuna Chuo cha Urubani. Sema nikufanyie michongo maana Mkuu wa Chuo namjua.
 
Lakini Bado naamini katikati ya haya magugu utapata pia kitu Cha kusaidia. Kuna watu waungwana wataelewa na kukupa mwanga.

Bufa kama uko vizuri kwenye hili eneo muongozo tafadhali Kaka. Natanguliza shukrani na baraka pia.

Mkuu nilimshauri juu pale aangalie South Africa maana wengi ninaowajua wamesoma aviation SA.
 
Kuna jamaa alienda kusoma huko urusi mambo ya tourism akaradu akakutana na calculater ya TCU GPA ikashuka ikawa ndogo kazi kupata ikawa shida kwa hyo kama unampeleka huko akapambane sio anarudi anakua dj tena
 
Zingatia CANADA

MPELEKE CANADA

KUNA FAIDA NYINGI ZA KUSOMA CANADA NA HATA BAADA YA KUMALIZA MASOMO...

Hawezi kukosa kazi ya kufanya akiwa canada masomoni,

Pia ni rahisi ku gain international job experience.. maana baada ya kuhitimu atapewa tena visa ya kuishi huko sawa na muda aliosoma nchini humo..
Yani mfano aka.a amesoma miaka miwili basi atepewa miaka miwili mingine ...

Pia ni rahisi yeye kupata permanent residence..

AKIAPATA NA U.S pia safi !!
 
Kuna Wakala yuko Uganda nikipata muda nitaiweka namba yake mwasiliane kwani ninaamini atakuvusha
 
LAbda kuna vigezo vingine alishindwa kuvifikia ndio maana kanyimwa
 
Admission nyingi za Europe zinaanza July mpaka December kwa international student. Yeye aanze application kwa ajili ya mwakani. Ufaulu wake na kuthibithisha kama unaweza kulipia ada kwa kipindi chote cha masomo itasaidia kupata admission.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…