Nini sababu ya kukosa visa kama alipata shule?Habarini wana jukwaa.
Naomba ushauri wenu tafadhali, nina mwanangu amehitimu mwaka huu kidato cha sita (Feza).
Amepata ufaulu wa daraja la kwanza point 7. ( Div I . 7) Science. Kidato cha nne alipata daraja la kwanza point 7 pia.
Anatamani sana kusoma course zifuatazo zinazohusiana na masuala ya anga (aviation).
- Aerospace Engineering .
- Aeronautical engineering.
- Private Pilot.
Nilipata chuo nje ya nchi (Europe) nikalipia hadi tuition fee lakini bahati mbaya amekosa Visa.
Binafsi nimesikitika sana, amehuzunika sana pia, sihitaji huu mwaka upote bure.
Niko hapa mbele yenu kuomba ushauri, ni jinsi gani naweza kufanya kupata admission kwa muda uliobaki ndani ya mwaka huku, ili aendelee na masomo hasa kwa nchi za Europe (Poland, Cyprus na Scandinavian countries) na North America (Usa & Canada).
Nitashukuru sana kwa mchango wenu.
Daah sasa hii wakitaka kufanya practical ndege zipo? Bora aende nje bongo michoshoMtafutie nafasi NIT: School of Aviation Technology | National Institute of Transport
Ndiyo, wahi sasa hivi, dead line haiko mbali!Ni kweli TCU wamefungua dirisha la udahili ten baada ya lile la September?
Usihuzunime wala kufikiria kipoteza pesa zako nje ya nchi. Pale Usagara, Missungwi, Mwanza njia ya kwenda Kivuko cha Kigongo (Daraja la Magufuli) kuna Chuo cha Urubani. Sema nikufanyie michongo maana Mkuu wa Chuo namjua.Habarini wana jukwaa.
Naomba ushauri wenu tafadhali, nina mwanangu amehitimu mwaka huu kidato cha sita (Feza).
Amepata ufaulu wa daraja la kwanza point 7. ( Div I . 7) Science. Kidato cha nne alipata daraja la kwanza point 7 pia.
Anatamani sana kusoma course zifuatazo zinazohusiana na masuala ya anga (aviation).
- Aerospace Engineering .
- Aeronautical engineering.
- Private Pilot.
Nilipata chuo nje ya nchi (Europe) nikalipia hadi tuition fee lakini bahati mbaya amekosa Visa.
Binafsi nimesikitika sana, amehuzunika sana pia, sihitaji huu mwaka upote bure.
Niko hapa mbele yenu kuomba ushauri, ni jinsi gani naweza kufanya kupata admission kwa muda uliobaki ndani ya mwaka huku, ili aendelee na masomo hasa kwa nchi za Europe (Poland, Cyprus na Scandinavian countries) na North America (Usa & Canada).
Nitashukuru sana kwa mchango wenu.
Lakini Bado naamini katikati ya haya magugu utapata pia kitu Cha kusaidia. Kuna watu waungwana wataelewa na kukupa mwanga.
Bufa kama uko vizuri kwenye hili eneo muongozo tafadhali Kaka. Natanguliza shukrani na baraka pia.
Ubarikiwe mkuu. Bila shaka ataambulia jambo la kunisaidia kupitia hii michango yenu.Mkuu nilimshauri juu pale aangalie South Africa maana wengi ninaowajua wamesoma aviation SA.
Kuna Wakala yuko Uganda nikipata muda nitaiweka namba yake mwasiliane kwani ninaamini atakuvushaHabarini wana jukwaa.
Naomba ushauri wenu tafadhali, nina mwanangu amehitimu mwaka huu kidato cha sita (Feza).
Amepata ufaulu wa daraja la kwanza point 7. ( Div I . 7) Science. Kidato cha nne alipata daraja la kwanza point 7 pia.
Anatamani sana kusoma course zifuatazo zinazohusiana na masuala ya anga (aviation).
- Aerospace Engineering .
- Aeronautical engineering.
- Private Pilot.
Nilipata chuo nje ya nchi (Europe) nikalipia hadi tuition fee lakini bahati mbaya amekosa Visa.
Binafsi nimesikitika sana, amehuzunika sana pia, sihitaji huu mwaka upote bure.
Niko hapa mbele yenu kuomba ushauri, ni jinsi gani naweza kufanya kupata admission kwa muda uliobaki ndani ya mwaka huku, ili aendelee na masomo hasa kwa nchi za Europe (Poland, Cyprus na Scandinavian countries) na North America (Usa & Canada).
Nitashukuru sana kwa mchango wenu.
epuka roho ya chuki mkuu haisadii wala haikujengiAlikuambia point 7 Ni division two?
Halafu akakuambia amekosa Visa baada ya kulipa fees?
Akikuambia kingine tujuze..
LAbda kuna vigezo vingine alishindwa kuvifikia ndio maana kanyimwaIla wewe mzazi aiseee! Mbona sikupatii picha? Unamaanisha nini unaposema nimelipia tuition fee lakini Visa amekosa? Yaani una joining instructions na umelipia halafu unakataliwa Visa? Walikwambia sababu ni nini? Hakuna ubaloxi Katili namna hiyo, isijekuwa umetapeliwa na dalali wewe!
Kwa nini umelipia kupitia kwa dalali? Mhh. Vyuo vyote makini unalipa ada moja kwa moja through bank trasfer. Utakuwa umepigwaHapana, dalali niliempatia ada ni mtu wa Ghana, sio Nigeria.
Ulikuwa hulijui hili kabla ya kufanya application? Feza inamilikiwa na Mturuki na kuna kipindi kulikuwa na mgogoro na serikali yao.Turkey Mkuu,waliosoma FEZA hawaruhusiwi kusoma huko.
Admission nyingi za Europe zinaanza July mpaka December kwa international student. Yeye aanze application kwa ajili ya mwakani. Ufaulu wake na kuthibithisha kama unaweza kulipia ada kwa kipindi chote cha masomo itasaidia kupata admission.Kapteni, Crusaders yupo kwenye wakati mgumu na amekuja hapa apate muongozo. Kitu ambacho hata Mimi nilikua na shauku ya kujua kwanini kakosa Visa, amekieleza, mtoto akipata chuo uturuki na mipango yote ikaonekana inaenda vizuri Hadi pale dakika za mwisho mgogoro wa FEZA na serikali ya uturuki ulivyoharibu mchakato mzima wa Visa.
Sasa anachotafuta hapa ni namna Gani kijana atapata admission ili aanze masomo mwaka huu?
Nimeona wengi wanamshauri atafute South Africa, yeye shida yake ni chuo chochote Bora atakachoweza kupata admission wakati huu masomo yaanze ndani ya mwaka huu.