Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

We kiboko
ndiyo ukweli unakuta binti anajiachia na mume wa mtu hadi mimba bila kukumbuka kuwa yeye ni mwizi na mwenye mali yupo katulia zake ndanihana presha..... mume wa mtu mtamu ila asikutie mimba huwa wanageuka shubiri... hasa pale utakapo gundua kakuzalisha kaenda kutongoza tena mdogo zaidi yako ..
 
ndiyo ukweli unakuta binti anajiachia na mume wa mtu hadi mimba bila kukumbuka kuwa yeye ni mwizi na mwenye mali yupo katulia zake ndanihana presha..... mume wa mtu mtamu ila asikutie mimba huwa wanageuka shubiri... hasa pale utakapo gundua kakuzalisha kaenda kutongoza tena mdogo zaidi yako ..
Upo sahihi, ndo nilicho mchana mimi katika previous comments.
 
Nyoo!ulijua mme wa mtu ulipanua maini yanini second hand wewe?ndo utajaza sasa,ushauriwe nini ukatoe au?unataka kushea dhambi zako na wtu?mxiuuu utajijua
 
Ni kweli unafanyia kazi Shirika la kidini, lakini kuanguka na kusimama ndiyo sehemu ya ubinadamu tulioumbwa nao na wala usitishike na huo mkwara wa kuachishwa kazi.
Siungi mkono ngono kabla ya ndoa lakini inawezekana ulijikwaa, na kama unanisikiliza nakusihi usijaribu kamwe kuitoa maana hiyo ndiyo dhambi kubwa kabisa itakayokusumbua katika maisha yako yote na baadae ahera.
Wakikugundua jitetee ilikuwa bahati mbaya kwani kulikuwa na mtu aliyekulaghai atakuoa na ambaye kaingia mitini baada ya kutimiza adhma yake. Nakuhakikishia hawatakufukuza kwani miongoni mwao hakutakuwa na hata mmoja ambaye hajafanya kosa kama hilo, dhamira itawasuta.
 
Nenda instagram kajiunge na group la SINGLEMAZAZ wenzio maana tyr we ni mama usiye na mume
 
Pumbafu sanaaa....

Eti nafanya kaziii kwenye shirika la dini. we ulitumwa na ibilisi kuleta mkosi kwenye hilo shirika la mtakatifu mimi
 
Kosa kubwa ulilolifanya ni kumwambia kuwa tiyari ulishavimbiwa maharage. Sasa, komaa kimya kimya. Kama mlikuwa mnaonana ofisini, pita tu ka hujui kuwa yupo. Siku kikinuka ofisini ukiulizwa ni ya nani, wala usimtaje, mwangalie usoni halafu macho yashushie kwenye tumbo lako. Kama ana utu ndani yake, akutetee.
Mara baada ya kuzaa, mwambie kuwa umepata mtoto flani. Usiache kumwambia. Kwa kuwa umemsitiri atakusitiri pia. Ushauri wa kuua kiumbe hicho, usiupokee hata kwa dawa. Nnani ajuaye pengine ndo yai pekee ulilobakisha salama? Obama angetolewa na mamake Marekani wasingelikuwa na rais leo. Ila dada mpaka na wakuu wako wa dini?
 
Apandacho Mtu Ndicho Atakacho Vuna. Ukipanda zinaa Utavuna Mimba na Ukimwi.
 
Heri ya pasaka nyote,

Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.

Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.

Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.

Naomba ushauri wenu wa busara
Ulitaka aseme nini wakati ulijua ni mume wa mtu???
 
Ni kweli unafanyia kazi Shirika la kidini, lakini kuanguka na kusimama ndiyo sehemu ya ubinadamu tulioumbwa nao na wala usitishike na huo mkwara wa kuachishwa kazi.
Siungi mkono ngono kabla ya ndoa lakini inawezekana ulijikwaa, na kama unanisikiliza nakusihi usijaribu kamwe kuitoa maana hiyo ndiyo dhambi kubwa kabisa itakayokusumbua katika maisha yako yote na baadae ahera.
Wakikugundua jitetee ilikuwa bahati mbaya kwani kulikuwa na mtu aliyekulaghai atakuoa na ambaye kaingia mitini baada ya kutimiza adhma yake. Nakuhakikishia hawatakufukuza kwani miongoni mwao hakutakuwa na hata mmoja ambaye hajafanya kosa kama hilo, dhamira itawasuta.
Asante sana. Ushauri mzuri Na Mungu akubariki sana
 
Asante sana. Ushauri mzuri Na Mungu akubariki sana
Mara nyingi jamvini humu watu hufanya mizaha badala ya kutoa ushauri wa kusaidia, ila wapo wenye ushauri mzuri kabisa. Karibu ukipenda ushauri zaidi, unaweza nitumia PM! Pole kwa kuumia.
 
Ukweli ni kwamba kuna dhambi zingine shetani tunamsingizia.... Hauwezi kugawa kama pipi afu utuombe ushauri tusiokuwepo kwenye dhambi zenu....
Pepo mchafu
 
Umenichekesha kwa kweli mana unamuogopa binadamu kuliko mungu,,eti utafukuzw kazi dah,,haya huyo mume wa mtu hamkua na mipango yyt ile bali ni starehe tu?asa kwa nn ulibeba mimba?? Watoto wa kike tunaviranga jamani alaf hata hatujielewi,sasa hv mume wa mtu yupo kwa mke wake katulia tuli, ww unaning'iniza roho kuomba msaada jf...ha,haaaaa...hapo ndo huwa ninawa salute wanaume
 
Heri ya pasaka nyote,

Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.

Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.

Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.

Naomba ushauri wenu wa busara
Nonsense!!! Waambie hilo shirika kua umepata mimba nje ya ndoa..
 
Back
Top Bottom