Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
au uitumbue(joke) jipu la maisha hilo atiii
Heri ya pasaka nyote,
Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.
Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.
Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.
Naomba ushauri wenu wa busara
Kesha choropoa...mfanyakaz wa shirika la diniUjauzito unaendeleaje
Kesha choropoa...mfanyakaz wa shirika la dini

KWELI HUU MCHEZO HAUITAJI HASIRAHeri ya pasaka nyote,
Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.
Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.
Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.
Naomba ushauri wenu wa busara
Hahaaa hapo lazima awe mpoleee...ONYO kwa michepuko wanaodhani wanawazudi wake wa ndoa...jamaa.anasafisha rungu tyuuKWELI HUU MCHEZO HAUITAJI HASIRA