Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

Ushauri: Nina mimba ya mume wa mtu

Dah hivi haya mashirika ya dini hayana vigezo vya elimu kuajiri watu hii ni balaa
 
Uliwaza nn?
~ulivutiwa nn na mume wa mtu?
~hv unajua jinsi gan huyo mwanamke alivotoka nae mbali?
~ulihic huyo baba anakupenda sana kuliko mkewake?
~kwa nn unataka kuharibu hiyo familia?

Ngoja nikushaur tuu.
~nafikir unajua km umetenda dhambi,na ili kuificha dhambi yako km unavotaka kufanya kunahitaji gharama ya ziada.hivo kutakuhitaji kuua.biblia inasema USIUE.
umekosea ndio lkn ISHI NA HOFU YA MUNGU.
(Ole wetu tusio olewa mana yale tunayotaka tutendewe tuwatendee wenzetu kwanza)
 
Sijazima simu makusudi, nipo na familia kwenye mapumziko ya pasaka. Umesahau? Mbona nlikueleza? Ntakupigia j4 tutaliweka vizuri tu usiwe na shaka.
 
Heri ya pasaka nyote,

Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.

Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.

Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.

Naomba ushauri wenu wa busara
Ndio umeshafanya ngono kabla ya ndoa
acha kazi kalee mtoto
 
Tafuta movie inaitwa 'Home sweet Hell' uone nwenzako alichokifanya
 
Heri ya pasaka nyote,

Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.

Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.

Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.

Naomba ushauri wenu wa busara
Aisee usiue hicho kiumbe dadaangu.
 
Yaani, hivi wewe (na walio na kama wewe) mna akili za aina gani? Kwanza unakubali vipi kufanya ngono na mume wa mtu in the fisrt place? Second, unawezaje kufanya ngono zembe bila kinga, tena na mume wa mtu? Husikii haya matangazo yote kila siku kwamba USIFANYE NGONO ZEMBE.

There is a price we have to pay for every mistake we make, just pay the price and then move on
 
Umesoma lakini kujizuia kupata mimba hujui.

Hizo shule huwa mnajifunza ujinga?
 
Kwahy unataka tupigie mstari jibu lako coz maelezo yanaonyesha utatupa mtoto chooni ww namuomba mungu akurehem ccta+
 
Heri ya pasaka nyote,

Ninaomba ushauri wenu nimetoka na mume wa mtu nimejigundua nimenasa ujauzito wake.

Sasa mbaya zaidi amekubali lakini hasemi kifuatacho ni nini, sasahivi lazima simu zake nisimpate.

Na ikigundulika kazini nitapoteza kazi yangu cause ninafanya kazi kwenye shirika la kidini hairuhusiwi ngono kabla ya ndoa.

Naomba ushauri wenu wa busara
Waataarifu mapema kazini kwenu kuwa umefunga ndoa ya mkeka
 
Back
Top Bottom