miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
we ushauri gani wakati jibu unalo kuwa huitaji watu weusiToa ushaur, mtu akileta jambo hapa anataka elim imsaidie kufanya maamuz sio kama inavyofanya ww
we ushauri gani wakati jibu unalo kuwa huitaji watu weusiToa ushaur, mtu akileta jambo hapa anataka elim imsaidie kufanya maamuz sio kama inavyofanya ww
we ushauri gani wakati jibu unalo kuwa huitaji watu weusi
mwanaume hana nafasi ya kujifunza kupenda wapo wachache sana sina uhakika kama ni among them.... wanawake ndiyo huwa tunanafasi hiyo na ni wepesi kujifunza kupenda... ushauri as long as umeshaona kasoro mwache asepeSometimes nafikir labda naweza kujifunza kumpenda kama alivyo kadri ntakavyoish naye....
Napenda sana tabia zake ila tatzo ni mweusi na mm napenda wanawake weupe
Moyo hautak kumuacha, nafsi inasita kumuoa nahsi ntakua nataman sana weupe, nipo njia panda coz ni wife material sana.
Nishurin jaman nimuoe hata kama nafsi ipo nusu nusu kwake???
Leo umenikumbusha wimbo wa cheusi mangala.
Cheusi mangala....x 2
Huu wimbo una mashairi safi sana- I dedicate it to all JF Ladies
Chorus
Cheusi Mangala usibadili mwendo huo Mangala eehe Mangala eehe Binti Afrika
Verse
Kila kwenye chombo baharini kuna nahodha, nahodha wangu ni wewe mawimbi kuyakata chombo kisiende mrama tupate fika salama
Rudia chorus
Verse
Ninajisikia ninaposikia heshima na upole wako kwa watu wa pembeni usije kata tamaa tukose wakututetea
pia pitia hii thread: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/77480-mashairi-wimbo-cheusi-mangala.html
ungekuwa karibu ungeambulia makofi tu na mateke ,,.. sasa unataka nini?
MAKUBWA.. wewe apo ulipo ni mweupe? au mangala kuliko hata yeye.. some people bwana.
Napenda sana tabia zake ila tatzo ni mweusi na mm napenda wanawake weupe
Moyo hautak kumuacha, nafsi inasita kumuoa nahsi ntakua nataman sana weupe, nipo njia panda coz ni wife material sana.
Nishurin jaman nimuoe hata kama nafsi ipo nusu nusu kwake???
U only need to grow up a bit more.
U only need to grow up a bit more.