baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,255
- 1,268
habar wakuu naombeni mnishauri, tangia jana nmekula vitunguu swaumu vitatu na punje zaidi 40 kwamara moja, lakini masaa matatu baadae hapa kifuani nahisi kuna kitu kimekwama kama kinataka kutoka lakin kimenasa yaani kimekwama lakini nakula vizuri nakunywa maji safi, hadi imefika leo nahisi hiki kitu kimepanda lakini hakitoki, nahii imeanza nlipoanza kutumia kitunguu swaumu na nkitaka kama kukitoa nabeuwa tu
ushauri wenu wakuu
asanteni.
ushauri wenu wakuu
asanteni.