Tzhacker 000
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 658
- 686
Habari wana JF, kama kichwa kisemavyo, mm ni developer, nimetengeneza app yangu ya kwanza kama majaribio, lakini kuna watu wameipenda na wanataka niwauzie, lakini mimi sijui bei ya app, naombeni ushauri je niuze shilingi ngapi?
Unaweza kuona app yenyewe hapa Download
Bado sijaweka playstore mana sijui hatua za kufuata, naruhusu kunikosoa kama nimekosea ili nijue pa kuweka sawa.
NAWASILISHA KARIBUNI JAMVINI
Unaweza kuona app yenyewe hapa Download
Bado sijaweka playstore mana sijui hatua za kufuata, naruhusu kunikosoa kama nimekosea ili nijue pa kuweka sawa.
NAWASILISHA KARIBUNI JAMVINI