USHAURI: Nimemkamata mtoto wa miaka 11 anajichua bafuni akiwa anajiandaa kwenda shule

MC.jpg
 
Waliofanikiwa Kuiruka nyeto hawafiki hata wawili humu ndani.
Jua tu ashaanza kutaman kurukiana kutokana na kuskia au kuona. Umemfuma Leo je unajua kaanza lini?
Maarifa ya nyeto huleta mnyetukaji.

Daah,mimi balehe sikuwahi piga nyeto,nilianzia kugegeda mbususu,nyeto nmekuja piga nishakua mtu mzima.
 
Ukweli ni kwamba mpaka ukiona mtoto wa kiume anajichua ni wazi huyo ni mzima wa afya kabsa hana tatzo lolote
 
Ni mtoto wa kaka yangu naishi nae hapa hasa kwa lengo la yeye kusoma maana mkoa nilipo una shule nyingi.

Darasa la nne hadi la tano alikuwa anasoma boarding, kwa sasa yupo kwangu anasoma day ya karibu std 6.

Ni mtoto mchangamfu, mcheshi, mpira anacheza na uwezo wa darasani si haba.

Leo nikiwa nataka niende kwenye shughuli zangu niliona bafuni kuna mvuke (huwa nawasha heater mara chache sana) nikawa nasikia maji ya bomba la mvua yanatoka ikiashiria kuna mtu anaoga, nikaenda room ya karibu ya dogo nikaona uniform zake bado zipo, nilichukia maana mda ulikuwa umeenda ni saa mbili kasoro na bado hajaenda shule.

Kuna namna naweza kufungua ule mlango wa bafu nayojua mimi hata mtu akiwa kajifungia.

Nilipofungua nikaona dogo kajilaza chali utadhani yupo kitandani, kafungulia maji ya bomba la mvua, zoezi linaloendelea anapanda na kushuka mnazi.

Nilistaajabu na kuhamaki nikiwa siamini nachokiona kwa mvulana mdogo kabisa kufanya hayo mambo.

Nilipozi pale kama sekunde 10 hivi natikisa kichwa, dogo kageukia ubavu kaficha aibu.

Nikaondoka bafuni hapo nikamwambia anikute sebleni, nikiwa sebleni nikafikiria nimtembezee kipigo hevi lakini nilipofikiria kitendo alichofanya kina undugu mzito sana na uraibu unaotesa hadi watu wazima nikatulia nisijue cha kufanya, niliondoka kwenda kwenye shughuli zangu.

Ingekuwa kwamba hajatandika kitanda, hajaosha vyombo, hasalimii, hajafua uniform, katukana, kapasua tv, n.k. haya makosa ni kuonya, kukaripia na bakora lakini hii ya leo ni tofauti, hapa tunazungumzia uraibu ambao unatutesa hadi watu wazima, sio rahisi kuuondoa kwa stiki ama kugombeza ama kukanya.

Naamini ha kwamba samaki ukimkunja akiwa mbichi ni rahisi kuliko akikauka, huyu bado ni mtoto na kuna chance ya kumuokoa mapema.

Nimefikia muafaka nikae nae chini nimueleweshe, Sasa naombeni ushauri wa namna gani naweza kumuelimisha huyu mtoto aache hii tabia ?

Naombeni techniques za kumshauri mtoto ambae bado hata uwezo wake wa kuielewa hii dunia bado upo chini nimueleweshe kwa urahisi kwamba anachofanya si sawa na aache, siwezi kumshauri kama mtu mzima inabidi uwe nimshauri kwa kuzingatia utoto wake.

Punyeto ina madhara makubwa, magazeti kama fema yaliwahi kuwapotosha vijana kwamba haina madhara, Leo hii hao vijana kutwa wanasumbuka kufatilia tiba ya matatizo yaliyowakumba.

Kizazi hiki kinaendeshwa na maigizo ya mzungu na social media sijui kwanini. Shika na uelewe at some point in time, mwili wa binadamu hubadilika na hapa naongelea kipindi hasa cha balehe.

Pia, kipindi hicho body desires huanza kujifungua na mtu kujielewa sexuality yake completely. Tangu mnamzaa mtoto, yeye alikuwa hajui biologically au kimwili kwanini yeye ni mwanaume na huyu ni mwanamke zaidi ya viungo vyake na makuzi mliolea.

Muda huo ndio desires huamka na kujua kwanini huyo ni opposite sex from me. Nanakazia sex i.e male and female na sio gender maana gender ni social construct ambayo utafiti wake ulifeli miaka ya 1950s to 1980s lakini bado wazungu waliilazimisha kwamakusudi na hata waliofanyiwa huo utafiti walikuja kujiua.

Hivyo basi kipindi hicho ubongo huwa engraved na natural desire to do something's ikiwemo hilo la kusugua sehemu za siri kwa mtoto wa kiume kwakuwa testosterone, hormone ya kiume inaanza kuwa produced kwawingi.

Hivyo that is a natural desire. Ila sasa kilichokengeuka kipindi hichi ni watoto kufanya kwa njia zisizo sahihi ikiwemo kufanya kwanjia za ovyo kwasababu ya mapokeo aliyoyapata kwenye jamii, hapa nazungumzia masocial media na watu wamzungukao au kufanya kwakupita kiasi kwasababu ya kukosa kitu chakufanya ikiwemo kazi za nyumbani kwasababu ya kuwepo house girl/boy na wazazi kuwalea watoto kama yai.

Mtoto kujisugua hivyo ndio anapozidi kujitambua mwili wake ila akizidisha basi anajiharibu mwili wake. Hivyo, ni kazi yako wewe kumuelewesha kama mzazi kwasababu wewe ndiyo rafiki wake wa karibu kuliko wote juu ya mabadiliko ya mwili wake na kumwambia nini hicho hasa anapitia. Ila kamwe usimzuie, maana atakuwa anazuzia natural instinct ya desires anazosikia akilini mwake.

Mwishoe atafanya vitendo vya ajabu zaidi ya hivyo. Occupy him na majukumu ya nyumbani pamoja na masomo mwisho wa siku ile desire itashuka nasio kushuka per se bali atakuwa ameicontrol na kuiacha kabisa. Psychologist is not better than you katika kumshauri mwanao, bali utamtisha.

Nanjia zao ni za ajabu sana, kwasababu idea ya kutumia midoli na vitabu vya ajabu walianzisha wao.
 
Unamkataza ili iweje? Wacha ujinga, ni mazoezi tu dogo atakuja kuwa mtaalamu sana. Kwani unafikiri Messi alianza kucheza Mpira ukubwani?
 
Huyo ameshakua sexual active. Nahofia ukimzuia kufanya hivyo mara nyingine hisia zikimzidi ataharibu hata watoto kama wapo hapo nyumbani.

Mueleze tu madhara ya punyeto .
 
Back
Top Bottom