Whackiest
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 1,016
- 1,122
Usimuadhibu moja fanya haya
moja muulize amejifunza wapi
mbili anamuda gani toka aanze kufanya hikokitu.
Tatu, tambua marafiki zake wa siku zote
nne nenda nae kituo cha afya ujue madhara alioyapata.
Tano mfundishe maana yake baada ya hapo muelkeze madhara yake hapo mwisho mwambie aache
moja muulize amejifunza wapi
mbili anamuda gani toka aanze kufanya hikokitu.
Tatu, tambua marafiki zake wa siku zote
nne nenda nae kituo cha afya ujue madhara alioyapata.
Tano mfundishe maana yake baada ya hapo muelkeze madhara yake hapo mwisho mwambie aache