Ushauri: Nimekuwa na tabia ya kuogopa kuoa

Nawasabahi ndugu zangu mlio wazima na wale wenye shida kidogo Mungu atatia wepesi.
.
Huyo Mungu wako ajakupa wepesi ti kwa sababu ILO linalokusumbua sio tatizo dogo ni janga hilo..... Kwama umri ushakimbia ndugu wanakuona Wewe sio unawapa watu maswali jogoo alifanyi kazi nn
 
pole sana mkuu.........

Nakushauri,uwe na tabia ya kwenda kwenye mikusanyo ya watu ambayo ni mchanganyiko ..mfano matamasha,kanisani,mihadhara....au sehemu yoyote ambayo inajumuisha watu wote,au kampani ya wanawake.....ukiwazoea wanawake taratibu confidence yako itaongezeka na kuona ni watu kama wewe:p:p

second try to forgive yourself,i guess ulikua una uhusiano ulioishia pabaya kiasi cha kutuona sisi wanawake mazimwi:p:p:p:D:D:D:D,ishapita kila mtu na kurasa yake,WOTE tushapitia hayo unayopitia....................


Na kama ULISHUHUDIA,uhusiano mwanamke akimuumiza mwanaume wake kiasi cha kukuathiri kisaikolojia,again huo ulikua ukurasa wao,you have to open yours,

Lastly TAKE time to date a woman,inaonyesha unadhani ukimuapproch mwanamke then hapo hapo lazima muongee kuhusu ndoa,hii sio kweli rafiki,jipe muda kumjua mwanamke uliyemuapproach ,ukipata Confidence she is the one,ndio muongee kuhusu ndoa.................
 
pole sana mkuu.........

Nakushauri,uwe na tabia ya kwenda kwenye mikusanyo ya watu ambayo ni mchanganyiko ..mfano matamasha,kanisani,mihadhara....au sehemu yoyote ambayo inajumuisha watu wote,au kampani ya wanawake.....ukiwazoea wanawake taratibu confidence yako itaongezeka na kuona ni watu kama wewe:p:p

second try to forgive yourself,i guess ulikua una uhusiano ulioishia pabaya kiasi cha kutuona sisi wanawake mazimwi:p:p:p:D:D:D:D,ishapita kila mtu na kurasa yake,WOTE tushapitia hayo unayopitia....................


Na kama ULISHUHUDIA,uhusiano mwanamke akimuumiza mwanaume wake kiasi cha kukuathiri kisaikolojia,again huo ulikua ukurasa wao,you have to open yours,

Lastly TAKE time to date a woman,inaonyesha unadhani ukimuapproch mwanamke then hapo hapo lazima muongee kuhusu ndoa,hii sio kweli rafiki,jipe muda kumjua mwanamke uliyemuapproach ,ukipata Confidence she is the one,ndio muongee kuhusu ndoa.................
Yes! Nimekubari mawazo yako, umenifungua macho katika hili. God be with you for everything what you do.
 
Nahisi hujapenda na hayajakunogea... Yakikunogea fasta tu utaanza kuomba michango
 
Jamaa ana stress na kodi ya meza kila siku,!! Haahh kila siku kuacha 10000 mezani unafikir mchezo kazi sio kuoa kazi kumlisha aridhike...jiandae kwanza mkuu usikurupuke...!!!
 
Jamaa ana stress na kodi ya meza kila siku,!! Haahh kila siku kuacha 10000 mezani unafikir mchezo kazi sio kuoa kazi kumlisha aridhike...jiandae kwanza mkuu usikurupuke...!!!
Ansante sana kwa ushauri wako sawa mkuu. God bless you
 
Back
Top Bottom