Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,941
- Thread starter
- #21
miaka inakimbilia 30 na ninakazi naUna miaka mingapi?.
Una shughuli yoyote ya kukuingizia kipato?.
Ushapata mwanamke wa kumuoa?,maana huyo mchumba wako umesema kakusotesha sana