Ushauri: Nimeitwa Polisi

Dah
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uzoefu wangu mdogo, hapo ishu sio wewe ila unaweza kusaidia kupata wanachotaka, kama unaweza na una nafasi nenda au kama una ofisi binafsi muelekeze aje ofisini onesha kujiamin ukianza kutetemeka bila kujua sababu watakutesa.
 
Ushauri mzuri. Ila hili la kumkunja bila huruma, mkuu umebonyeza sana.
Aweza asiende akaogopa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama simtu wamisala na unauhakika uko clean kwenye engo zote, mtangulize Mungu mbele uende jumatatu. Zaidi yahapo utaishi kwa mateso na msongo wa mawazo utakumaliza ukijua siku yoyote utatiwa nguvuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani sheria inasemaje kuhusu summons za polisi?


Yaani inaingia simu out of nowhere eti mtu anadai ni polisi,utaamini vipi?
Vipi Kama simu akipokea mtoto,au houseboy utajuaje unahitajika?
Kwanini wasilete summons physically?
Kabisa, lakin makwambia mara mia uwasiliane kwa Kutumia WhatsApp tu
 
Sasa kama wanayo hiyo namba unayoongea nayo kwanini wasimpigie yeye?
Hapo inaonekana mnatafutwa wote na kwa binadamu kuna wengi wana ishi double life
Wewe unaweza kujua ni nani huyo bila hata kupima upepo hapa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Polisi wana utaratibu wa kumuita mtu kituoni, huwa wana ku summon, Usiende polisi mpaka upate samass wao huuiita.

Tafuta wakili kIsha mtume akaulizse kama kuna jalada limefunguliwa kuku husu na kama halipo usiende.

Kazi ya upelelezi ni wajibu wa polisi wamtafute muhusika sio kukusumbua wewe.

Katika upelelezi polisi anaweza kukufuata ulipo, na mkazungumza au kama wewe ni suspect unaweza kupelekwa polisi kutoa maelezo yatakayosaidia upelelezi wao.

Usiende polisi na hilo sio kosa, unless wame ku summon halafu ukakataa kwenda.
 
Ukiweza kupata wakili wa kuongozana naye, itakuwa ni jambo jema zaidi, na wao pia watakuwa waangalifu ktk utendaji kazi wao.
 
Sawa kabisa, ila tutumie wanasheria wakuu, wako tele waliosajiliwa na kulipa ada zao, lawyers lawyers lawyers....
 
Mwambie akusinfikize lakini usimwambie kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…