Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,217
Ni mme wa mama mdogo mchungaji wa kanisa la EAGT hapa Dar, Alimleta huyo mtoto amwendeleze kielimu akiwa na miaka 14 sasa ana 16 amezaa last week ni copy ya baba mdogo na amegoma kupima DNA na kuwa mkali ajabu.
Binamu anasisitiza kuwa ni yeye.
USHAURI PLZ.
Binamu anasisitiza kuwa ni yeye.
USHAURI PLZ.