Hiki ulichoandika hakitabadili uhalisia wa kile nilichoandikaAcha ulozi wewe.
Ameachishwa kazi, ajira zinazidi. Kuadimika, jeshi la wasio na ajira linazidi kukua kubwa, hakuna aliye na hofu na hii hali, watu wanachotaka Ni ushindi tu come rain, come sunshine. Halafu kirahisi tu unamwambia mpwa wangu adifanye biashara.
Unataka akalime korosho? Au akalime karafuu au kahawa au miwa? Mazao yote hamtaki akauze kwa Uhuru. Hivi mnataka Nini?
Mm ushauri wangu kwako usiuze kiwanja kama una akiba kidogo nenda kanunuwe mabati yaliyo tumika ya msumari mmoja,miti na milunda nenda kapige full suti ya vyumba viwili kwenye hicho kiwanja.. Tafuta matairi ya gari kama kumi hivi chimba shimo ndo yawe shimo lako la choo mkiamia kwenu anza fuga kuku bata Lima mboga mboga ili ziwe zina okoa bajeti mda mwingine ushauri wangu kwako n huo ila sio sheria
Umenena vizuri. Hebu haraka haraka fasta tuambie kijana wetu afanyeje? Usiniambie auze genge maana nayo Ni biashara. Usiniambie akabebe zege au arudi shamba kwa Kijiji.Hiki ulichoandika hakitabadili uhalisia wa kile nilichoandika
Ni lazima uwe mtu wa kufikiri zaidi ya kufikiri...nimemwambia kama HAJAWAHI kufanya biashara kuuza kiwanja chake
Biashara ni taaluma yenye abc zake
Kuna aina ya biashara
Kuna eneo sahihi la biashara
Kuna mtaji
Kuna malighafi
Kuna matumizi
Kuna wateja
Kuna faida
Kuna hasara
Usijifanye motivational speaker ukamuingiza chaka mwenzako...kumbuka alichonacho ni kiwanja tuu ...biashara zikifeli kiwanja amekiuza unadhani atapata maumivu mara ngapi?
Kazini nimefukuzwa, sina akiba, sina chochote; nipo home nina mke na watoto wawili, umri wangu ni 35.
Nipo nyumba ya kupanga ila nina kiwanja.
Naombeni ushauri, pesa ya ujenzi sina kwa sasa ningejenga. Nafikiria kuuza kiwanja nifanye biashara. Vipi hapo naweza kuwa sahihi au niache kiwanja changu nitafute pesa za kuunga unga nipate mtaji wa biashara.
Ushauri wenu muhimu
Acha kumkatisha tamaa, kila mtu na bahati yake, inategemea na eneo kiwanja kilipo, bei unayouza, madalali n.kKuuza kiwanja zama hizi si mchezo.
Nimeanza kuuza Changu 2018. Mpaka leo hii sijapata mnunuzi. Anyway itategemea kilipo.
Nakazia hapa.Kama hujawahi kufanya biashara usijaribu hilo jambo utaishia kufilisika na majuto mara 2
Hili pia ni wazo zuri. Maana biashara ya kufuga nyumbani haina usumbufu wa mambo ya kulipa kodi.Mm ushauri wangu kwako usiuze kiwanja kama una akiba kidogo nenda kanunuwe mabati yaliyo tumika ya msumari mmoja,miti na milunda nenda kapige full suti ya vyumba viwili kwenye hicho kiwanja..
Tafuta matairi ya gari kama kumi hivi chimba shimo ndo yawe shimo lako la choo mkiamia kwenu anza fuga kuku bata Lima mboga mboga ili ziwe zina okoa bajeti mda mwingine ushauri wangu kwako n huo ila sio sheria
Ila jamaa kasema hana akiba hata punjeMm ushauri wangu kwako usiuze kiwanja kama una akiba kidogo nenda kanunuwe mabati yaliyo tumika ya msumari mmoja,miti na milunda nenda kapige full suti ya vyumba viwili kwenye hicho kiwanja..
Tafuta matairi ya gari kama kumi hivi chimba shimo ndo yawe shimo lako la choo mkiamia kwenu anza fuga kuku bata Lima mboga mboga ili ziwe zina okoa bajeti mda mwingine ushauri wangu kwako n huo ila sio sheria
Ndio anatakiwa atoke nyumbani aende kwenye masaiti afanye vibarua vya kupata senti za kula wakati anasubiria kazi zingine.Ila jamaa kasema hana akiba hata punje
Hapana maisha ya hivi ni kitesa familiaMm ushauri wangu kwako usiuze kiwanja kama una akiba kidogo nenda kanunuwe mabati yaliyo tumika ya msumari mmoja,miti na milunda nenda kapige full suti ya vyumba viwili kwenye hicho kiwanja..
Tafuta matairi ya gari kama kumi hivi chimba shimo ndo yawe shimo lako la choo mkiamia kwenu anza fuga kuku bata Lima mboga mboga ili ziwe zina okoa bajeti mda mwingine ushauri wangu kwako n huo ila sio sheria
Usiuze kiwanja. Chukua mkopo benk kwa kuweka asset kiwanja biga biashara ikismama lipa deni baki na kiwanja chako
Hii nzuri ,ila mnengemsaidia kujua ni taasisi zipi zinatoa mkopo kwa kuweka dhamana kiwanjaKiwanja chukulia mkopo
Aaah! Mkuu usimkatishe tamaa nadhani anatakiwa awekeze nusu ya mtaji ikitokea mambo yakaharibika ile nusu ingine itamsaidia lakini pia atakuwa amepata uzoefu huwezi Fanya biashara kwa Mara ya kwanza bila kupata hasara.Kama hujawahi kufanya biashara usijaribu hilo jambo utaishia kufilisika na majuto mara 2
Usiuze kiwanja. Chukua mkopo benk kwa kuweka asset kiwanja biga biashara ikismama lipa deni baki na kiwanja chako
Mkuu, pole sana naweza kufeel hali unayopitia, mim natoa ushauri kwa kufikiria kuwa unaishi mkoa wa Dar es salaam na familia yako. Ijapokuwa hujaweka wazi kama mkeo anafanya kazi au la lakin mim nashauri yafuatayo kama unaweza kuendesha pikipiki hapa mjini chukua hati yako ya kiwanja nenda kwa ndugu, jamaa, rafiki yoyote ambaye unaamini anaweza kukuamini mueleze hali halisi, halafu muombe akupe hela ya kutosha kununua boda boda tu na muachie hiyo hati, nunua pikpik anza kupiga kazi bila kujali cheti chako wala status yako.Kazini nimefukuzwa, sina akiba, sina chochote; nipo home nina mke na watoto wawili, umri wangu ni 35.
Nipo nyumba ya kupanga ila nina kiwanja.
Naombeni ushauri, pesa ya ujenzi sina kwa sasa ningejenga. Nafikiria kuuza kiwanja nifanye biashara. Vipi hapo naweza kuwa sahihi au niache kiwanja changu nitafute pesa za kuunga unga nipate mtaji wa biashara.
Ushauri wenu muhimu