OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
Vip mtoa post kwa sasa upo nchi gani kiutafutaji?
NDUGU FANYA UTARATIBU FURSA ZIPO SOUTH SUDAN,Wakuu habarini za leo?
Nikiwa kama muumini ninae amini maisha ni popote, Leo nimeleta Uzi huu nikiwa na lengo la kupata mwongozo kwa walio nitangulia kutoka nje ya Tanzania au walio na uzoefu wa nchi zingine barani Africa au nje ya Africa.
Kwanza kutoka nje ya Tanzania kwenda ku-make life abroad ni ndoto yangu tangu nikiwa mtoto na kwasasa naona umri wa kuiishi ndoto yangu ni Sasa.
Hivyo basi naombeni mwongozo ni nchi gani ambayo unaweza nishauri kwenda kwa ajili ya utafutaji wa maisha kulingana na fursa za nchi husika? Pamoja na mwongozo wa kufika huko.
Mimi kama Mimi nchi ambazo nimekua nikiwaza kwenda nchi ambazo ni visiwa kama sheli sheli (Seychelles) Mauritius n.k
-kwa south Africa sipapi kipaumbele Sana may be Botswana na kwingine.
Kwa wale mtakao shauri kua Tanzania kuna fursa nyingi kuliko nje sikatai ni kweli zipo ila kama una mchongo nipatie nipige, kama na wewe una fursa za mdomoni bas naomba utulie.
Towa muongozo huko south Sudan kuna fursa gani?NDUGU FANYA UTARATIBU FURSA ZIPO SOUTH SUDAN,
UPELEKAJI WA VYAKULA ( MAZAO) Sudani ya Kusini ndio kwanza wanaanza kuijenga nchi yao, wanachangamoto nyingi, sisi tunaweza kuwasaidia kwa maana ya kuwekeza na kwa kufanya biashara. Kwa mfano wale wanakula sana chapati, hawana ngano, tunaweza kuwauzia ngano, wanahitaji mafuta ya kupikia tunayo alizeti, wanahitaji vifaa vya ujenzi, tuna viwanda vya saruji na nondo pia, kwa kweli fursa zipo tunachotakiwa ni kujipanga.Towa muongozo huko south Sudan kuna fursa gani?
Nop siyo boss mi wa kilimanjaroMm mtu wa msoma huenda tukawa kabila moja na huyu mangole maana haya ni majina ya ukoo.
Mh sawa sawa boss wenye mitaji wataenda.UPELEKAJI WA VYAKULA ( MAZAO) Sudani ya Kusini ndio kwanza wanaanza kuijenga nchi yao, wanachangamoto nyingi, sisi tunaweza kuwasaidia kwa maana ya kuwekeza na kwa kufanya biashara. Kwa mfano wale wanakula sana chapati, hawana ngano, tunaweza kuwauzia ngano, wanahitaji mafuta ya kupikia tunayo alizeti, wanahitaji vifaa vya ujenzi, tuna viwanda vya saruji na nondo pia, kwa kweli fursa zipo tunachotakiwa ni kujipanga.
Biashara ya hoteli badala ya kujenga vihoteli vidogo kariakoo
kwanini kama una mtaji usiende kujenga JUBA?au GOMA na kwingineko