Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,108
Ndugu zangu wana body, poleni kwa mihangaiko katika kujenga nchi yetu ya Tanzania. Mimi nina degree ya elimu(Bachelor of Education Languages) na kwa sasa ni Mwalimu, natamani kusoma masters lakini ya fani nyingine tofauti na Education na kwa nature ya kazi zetu sina option ya kusoma chuo kikuu kingine chochote hapa nchini tofauti na OUT. Kaka zangu, dada zangu , baba na mama zangu pamoja na ndugu zangu wote humu naomba kwa anayejua masters ambayo at least ipo marketable anishauri. Binafsi nilitamani sana ningesoma Public Administration lakini OUT hawana hiyo masters program, nimeona wana Masters ya Governance and Leadership kama substitute ya hiyo. Nimeshindwa kuamua kuchukua hiyo maana sijui marketability yake.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa ushauri mzuri mtakaonipa.
Mungu awabariki sana!!!!
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa ushauri mzuri mtakaonipa.
Mungu awabariki sana!!!!