WanaJF kichwa cha habari chajieleza.
Watu wengi wamekuwa wakifuga wanyama kama mbwa kwa ajili ya ulizi usiku kuzuia vibaka. Tumekuwa tukiona vibaka wakivamia nyumba za watu na hata kuua hao wanyama kwa sumu au risasi. Binafsi vibaka wamewahi kulizia mara mbili kwa nyakati tifauti. Mara ya kwanza walikwangua kiIST yangu ikabaki nyeupe. Mara ya pili nikiwa safari wakakwangua TV yangu niliyokuwa naipenda kweli. Sasa nimepata wazo la kufuga nyoka tena nyoka hasa kama koboko na kobra kwa ajili ya ulizi wa nyumbani na hata kuwauzia wadau wengine.
Kama tunavyojua hapa JF pana wengi na palipo na wengi pana mengi pia. Naomba kujua kama kuna mdau anajua chuo au sehemu ninayoweza kupata hayo mafunzo ya kuwafunga nyoka na kuwafundisha kutokudhuru mfugani (kama ilivyo kwa mbwa).
Naona kama nikifanikiwa wadau wengi wataachana kuwafuga mbwa ambao ni gharama na sasa kugeukia mnyama nyoka kwa ajili ya ulizi wa makazi yetu.
Uzi tayari
Watu wengi wamekuwa wakifuga wanyama kama mbwa kwa ajili ya ulizi usiku kuzuia vibaka. Tumekuwa tukiona vibaka wakivamia nyumba za watu na hata kuua hao wanyama kwa sumu au risasi. Binafsi vibaka wamewahi kulizia mara mbili kwa nyakati tifauti. Mara ya kwanza walikwangua kiIST yangu ikabaki nyeupe. Mara ya pili nikiwa safari wakakwangua TV yangu niliyokuwa naipenda kweli. Sasa nimepata wazo la kufuga nyoka tena nyoka hasa kama koboko na kobra kwa ajili ya ulizi wa nyumbani na hata kuwauzia wadau wengine.
Kama tunavyojua hapa JF pana wengi na palipo na wengi pana mengi pia. Naomba kujua kama kuna mdau anajua chuo au sehemu ninayoweza kupata hayo mafunzo ya kuwafunga nyoka na kuwafundisha kutokudhuru mfugani (kama ilivyo kwa mbwa).
Naona kama nikifanikiwa wadau wengi wataachana kuwafuga mbwa ambao ni gharama na sasa kugeukia mnyama nyoka kwa ajili ya ulizi wa makazi yetu.
Uzi tayari