Ushauri: Napenda kutoka na walionizidi umri

Ushauri: Napenda kutoka na walionizidi umri

Wakuu salama?

Jamani mwenzenu kidogo nina tatizo napenda kutoka kimapenzi na wamama na watu walio nizidi. Saa mbaya zaidi ni kwamba naona kama inaniathiri.

Nina mke home lakini nahisi mapenzi yapo kwa mtu mkubwa kiumri kabisa. Imefikia mpaka wife nahisi anagundua.

Nimejitahidi kuacha lakini wapi? Nahisi na enjoy mapenzi [HASHTAG]#GAME[/HASHTAG] kwa mtu alie nizidi umri sana. Najitahidi kujitoa nashindwa.

Naomba msaada wa mawazo
Upo kama mimi
 
matured women wana vyote ambavyo wasichana au wanawake wadogo hawana
-more understanding
-less demanding zaidi ya muda
-too insecure as in wanaamini hawapendeki tena,so ukiweza kuwaonyesha tofauti umeua
-maisha kwa kiasi kikubwa yamewaridhisha,hata yule asiye na kipato kikubwa amesharidhika na hali yake so hahangaiki viiile
-swala Zima la kuwa amemaliza kuzaa nalo linaongeza kurelax maana hana hofu hiiivyo kuhusu uzazi,na hata ikitokea ana uhakika wa kulea,iwe kifedha au kiumama
-matured women hawaongei mapenzi tu all the time ,kuna muda mtaongea mpk mipaka ya mashamba ya kwenu
-the fact that wanaijua miili yao kujiachia kihisia zaidi ni kukubwa so very likely anakuwa more womanly

SAME APPLIES TO MATURED MEN

so now unaweza kuelewa kwanini ni vise versa
 
matured women wana vyote ambavyo wasichana au wanawake wadogo hawana
-more understanding
-less demanding zaidi ya muda
-too insecure as in wanaamini hawapendeki tena,so ukiweza kuwaonyesha tofauti umeua
-maisha kwa kiasi kikubwa yamewaridhisha,hata yule asiye na kipato kikubwa amesharidhika na hali yake so hahangaiki viiile
-swala Zima la kuwa amemaliza kuzaa nalo linaongeza kurelax maana hana hofu hiiivyo kuhusu uzazi,na hata ikitokea ana uhakika wa kulea,iwe kifedha au kiumama
-matured women hawaongei mapenzi tu all the time ,kuna muda mtaongea mpk mipaka ya mashamba ya kwenu
-the fact that wanaijua miili yao kujiachia kihisia zaidi ni kukubwa so very likely anakuwa more womanly

SAME APPLIES TO MATURED MEN

so now unaweza kuelewa kwanini ni vise versa

Daah safi sana yani umeingea mle ninamopituaaa
 
Wakuu salama?

Jamani mwenzenu kidogo nina tatizo napenda kutoka kimapenzi na wamama na watu walio nizidi. Saa mbaya zaidi ni kwamba naona kama inaniathiri.

Nina mke home lakini nahisi mapenzi yapo kwa mtu mkubwa kiumri kabisa. Imefikia mpaka wife nahisi anagundua.

Nimejitahidi kuacha lakini wapi? Nahisi na enjoy mapenzi [HASHTAG]#GAME[/HASHTAG] kwa mtu alie nizidi umri sana. Najitahidi kujitoa nashindwa.

Naomba msaada wa mawazo
Uko umri ukiwa nao, hasa miaka 23 hadi 30 ni kawaida sana kutongoza kinamama wanaokuzidi umri. Hii ni kawaida tu kutokana na maumbile ya binadamu. Hapo unakuwa na msukumo kuwa na wewe ni mkubwa hivyo unamuweza mkubwa yeyote. Baada ya umri huo utavigeukia vibinti.

Hii pia huwatokea kinamama wa umri wa kuanzia miaka 42 hadi 50 akitongozwa na kijana mdogo hufurahia sana na kujiona kwamba kumbe bado hajazeena.
Hivyo kama huo ndiyo umri wako ni kawaida kwa karibu binadamu wote mkuu. Utaacha automatically
 
Uko umri ukiwa nao, hasa miaka 23 hadi 30 ni kawaida sana kutongoza kinamama wanaokuzidi umri. Hii ni kawaida tu kutokana na maumbile ya binadamu. Hapo unakuwa na msukumo kuwa na wewe ni mkubwa hivyo unamuweza mkubwa yeyote. Baada ya umri huo utavigeukia vibinti.

Hii pia huwatokea kinamama wa umri wa kuanzia miaka 42 hadi 50 akitongozwa na kijana mdogo hufurahia sana na kujiona kwamba kumbe bado hajazeena.
Hivyo kama huo ndiyo umri wako ni kawaida kwa karibu binadamu wote mkuu. Utaacha automatically

Thnx mkuu mm ni 33 now. Lakini naona nazidi kuvutiwa zaidi so nikaona pengine inaweza kuwa tatizo ila kama umesema itapunguwa sawa nashukuru sana mkuu
 
Daah safi sana yani umeingea mle ninamopituaaa
sasa nikwambie
msaidie mkeo kuwa yafuatayo
-ajiamini zaidi
-msifie zaidi
-ongea nae vitu tofauti na ndoa yenu
-msaidie alifurahie tendo zaidi
-muelewa that umri wake haumpi nafasi ya kuwa vile waliokuzidi umri walivyo ,ana watoto wadogo ambao ni wako wanamuhitaji,anahofia kushika mimba ,ndoto zake nyingi kimaisha hazijatimia au zimepotea,ana influence ya marafiki walio na same situation like hers very likely anajmuisha wanaume wote wapo kama ulivyo
-pengine humpi muda wa kutosha kimawasiliano
SO JITAFITI HAPO!
FACT IS MUME MNAYELINGANA UMRI AU ALIYEKUZIDI KIDOGO AKIPATA MWANAMKE ALIYEWAZIDI NYOTE UMRI NDOA IPO MASHAKANI!
so do hayo ili unusuru ndoa yako,unless umepania iende huko inakoenda!
 
Thnx mkuu mm ni 33 now. Lakini naona nazidi kuvutiwa zaidi so nikaona pengine inaweza kuwa tatizo ila kama umesema itapunguwa sawa nashukuru sana mkuu
acha kujiendekeza!
UKIMWI best!
tatizo pia unao wengi!
sasa wewe jipe moja ukiwa mkubwa utaacha wakati ndo ushakuwa mkubwa!
 
acha kujiendekeza!
UKIMWI best!
tatizo pia unao wengi!
sasa wewe jipe moja ukiwa mkubwa utaacha wakati ndo ushakuwa mkubwa!

Bahati nzuri sana sina maambukizi na nimekuwa na mahusiano ya hivi matatu pekee
 
Inavyoonyesha watu wazima sio wasumbufu na hawana kalenda na mambo mengi kama mabinti ambao wana mambo mengi mara iphn 7, mara ela ya saloon etc
 
Kupenda mijimama sio tatizo hata kidogo.
Tatizo ni kuweka kando kiapo cha ndoa kwa kisingizio cha kupenda mijimama.
Acha huyo unayemwita mkeo aende zake ili ufurahi na hao waliokuzidi umri.
Ni hatia tu ya kuvunja uaminifu kwa huyo dada unayemwita mkeo, ukishamwondoa hapo utabaki huru kabisa.
 
Mi huwa najua ni wadada tu huwa wanapenda kutoka na waliowazidi umri, kumbe ht wakaka nao, duh......
 
Back
Top Bottom