Dindilimunyo
Senior Member
- Sep 12, 2016
- 108
- 206
- Thread starter
- #21
Vijana tafuteni Pesa msilete story za kizembe humu jukwaani. Mnapenda mitelemko. Mabinti na ma sister do ni gharama. Ndoo mnaponea kwa wahanga wa unyanyasaji wa kijinsia.
With all do respect jamaa yangu! Mm sio mmoja wao! Nina maisha yangu nina vijisenti vya kununulia nyanya nina kibarua kizuri tuu kimsingi sina shida ya vitu vidogo vidogo! Nimekuwa adicted tu na watu wazima! Sijawahi kupewa pesa au kitu chochote kutoka kwa mtu mzimaa!