Ushauri naombeni msaada

Ushauri naombeni msaada

Hizo 150K bora ungejaza kreti za bia nyumbani ukajilipua tu.
 
mm nikijana wa miaka 23 nimepata mpenzi miez wa tatu sasa lakin mpenzi huyi akija kwangu ukimgusa anasema anaunwa lakin huwa kila anachokitaka kutoka kwangu kwa hesabu za haraka miez mitatu ambayo nipo naye kwenye mahusiano ameshatumia tayari 150000 hiz ni pesa ambazo nimempa keshi acha zile vocha na vizawad hilo sio neno kwenye mapenz tatixo ni kwamba ananificha maisha yake hataki kuniweka wazi juu ya maisha yake na kwakeli ninampenda sana Hataki kuduu na ww na wala hatik tuongee kuhusu maisha yake kila hunipa ahad ambazo hazitimii

nisaidien ndugu yenu
kwa mwanamke umeshatoa 150,000 Je! Kwa Mungu Umetoa Ngapi?
 
Me mwenzio nishakamata kwa nguvu mara 9 mpaka sasa wajinga kama hao alafu anaweza akawa anakuja na sketi fupii alafu kibox manyoa hakupi
 
Mawili .... moja anakutumia kama ATM. Pili... ana trust issues... na husababishwa na mahusiano aliyokuwa nayo huko nyuma... ndio maana hakuamini.
 
Back
Top Bottom