Ushauri naombeni msaada

Ushauri naombeni msaada

we unahudumia hata ujamla papuchi kinachofanya isimuache unafikiria gharama unazompa tatizo , ukishindwa kumuacha sitisha huduma halafu ulete mlejesho
 
tafuta mtu wa kukaimu hiyo nafasi hapo utendaji zero wanawake wa sasa wapo kimaslahi na wewe ishi kimaslahi akikupa wewe ndo unampa.

usiwe na mkono mwepesi shtuka wanawake ni matapeli.
 
Kumbe shida yako wewe ni kuduu tu? Jaribu kimboka
 
Mkuu maisha ya leo ukiona hivyo jua hauna chako hapo jikate mdogo mdogo.
 
Ishi na mwanamke kwa akili....
Usikimbilie kupewa mzigo mvumilie kwa muda ukiona hatabiriki muache.
Hivi kwa mfano akikupa papuchi halafu iwe ime expire ( ukimwi ) au ( wadudu weusi ) nani mwenye hasara hapo.
 
Duuuh, laki na nusu ndo unapiga kelele ndugu, wewe sio msambaa halisi. Wewe bado learner, ukiwajua wanawake utatuliza munkari
 
Sasa kama mtu anakuepusha na virus wa ukimwi
wewe unang'ang'ania

Haya komaa uje ukutane na ZIKA
 
Bila ubishi, wewe ni sawa na ATM machine ya huyo unae muita binti
 
Back
Top Bottom