mgangawaukoo
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 2,183
- 2,394
Walaumu waliyo anzisha badoo,
Rudi kajaribu mwingine!
Rudi kajaribu mwingine!
Halafu wewe bana. Mi nilijua ungetaka nikuonyeshe zangu...








umeamua kujiongeza hahhahahahahhahhahahhahahhzhaha haya nionyeshe maybe zaweza nivutiaumeamua kujiongeza hahhahahahahhahhahahhahahhzhaha haya nionyeshe maybe zaweza nivutia
Haya Fanya namna yoyote hizo tricks zako nizioneHapa tutaharibu uzi wa Mgosi.
Usikute amekanyaga miwaya anakuonea huruma asije akakuambukiza..nilifikiria hilo ni mbake kisha niachane naye lakin nafsi yangu huwa inasita saana aliniambia mm ninaumwa siko vizur basi minamwachia
nn kaka yangu
Shika adabuyo!!! Tangulini mamaa akawa kakann kaka yangu
We msambaa wa wapi aisee unatia aibu ndugu zako.
This is being very insecure. Mbona kama hamjiamini wanaume? Kweli among all reasons zinazomfanya huyo binti asitake kuguswa, this came to your mind first? Mtoa mada kaa chini muulizane kulikoni, this is very childishfanya maamuzi magumu kabla hajaendelea kukutumbua zaidi, huyo anachukua laki na nusu kwako anaenda kumpa mwanaume mwenzio na miguu anamtanulia. Piga chini harakaaaa