msambaa mwenyewe
Member
- Aug 17, 2016
- 69
- 46
mm nikijana wa miaka 23 nimepata mpenzi miez wa tatu sasa lakin mpenzi huyi akija kwangu ukimgusa anasema anaunwa lakin huwa kila anachokitaka kutoka kwangu kwa hesabu za haraka miez mitatu ambayo nipo naye kwenye mahusiano ameshatumia tayari 150000 hiz ni pesa ambazo nimempa keshi acha zile vocha na vizawad hilo sio neno kwenye mapenz tatixo ni kwamba ananificha maisha yake hataki kuniweka wazi juu ya maisha yake na kwakeli ninampenda sana Hataki kuduu na ww na wala hatik tuongee kuhusu maisha yake kila hunipa ahad ambazo hazitimii
nisaidien ndugu yenu
nisaidien ndugu yenu
