samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,266
Ukingagania bila kuangalia hali yake kifedha kama wakati huo anauwezo au la, kuna hatari ya wewe kupewa pesa iliotoka kwa mwanaume mwenzio ambae hana mkono wa birika.
Sawa tu
Ukingagania bila kuangalia hali yake kifedha kama wakati huo anauwezo au la, kuna hatari ya wewe kupewa pesa iliotoka kwa mwanaume mwenzio ambae hana mkono wa birika.
Anapima upendo kwa pesa... Anazira.. Anapenda kubembelezwa.. Chukua pesa zako akizileta, kaa kimya. Akienda hakuwa wako, akirudi alikuwa wako
^^
Kasema kakopwa halafu bibie kanuna kisa kakumbushwa kulipa kabla ya muda.
Huo msala ni sawa na kuvamiwa ISIS...........aiseee......
hivi laki nne nayo ni pesa ya kumkopesha mtu afu umkumbushie mara nyingi nyingi?