Uswiss
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 842
- 2,160
- Thread starter
- #21
Box moja la sigara SM linauzwa 680,000. Bado sijanunua la embasy, club sport, wiston, kali. nk. Bado sijalipia frem . Kwa sehem za barabaran zilizochangamka kodi ni mpaka 150,000 kwa mwez. Na unalipia kuanzia miez 3.Mbona mtaji mkubwa kabisa huo kwa hiyo biashara Mkuu
Bado pia lazima nibakishe kaakiba kidogo kwa ajir ya mafuta ya pik pik. Nimepga hesabu zangu mpaka kichwa kinauma naona ni kama haitoshi. Plus mambo ya TRA na lesen ya biashara ni hatar mkuu.