Ushauri:Nahitaji house girl ila nipo njia panda

Kumbe umeandika huu Uzi ukiwa rainbow.! Ndio mana. Unachua ngapi za vant kwa mukichwa.? Nitapita badae kidogo hapo rainbow nije nisikilize muzuri
Karibu mkuu ntaondoka mida ya 23:30pm
 
Watu wengine wanafanana kama wanaume ila akili zao za kike.....sijui nilimbukeni au homony za kike.......eti......shit
Naona unashoboka.. njoo wewe uwe unanifanyia usafi home ntakupa hela unayotaka ila nikitoka job ukubali kuliwa tigo..
 
Si uvute hata mtoto wa anko au dada wa ukoo toka village kwenu aje akae hapo asomee ufundi cherehani huku anakusupport na wewe unamsupport?
Wazo lako ni zuri sana mkuu tatizo hawa watoto wa ndugu wakijaga mjini wanajifunza tabia mbovu mwisho wa siku lawama zote zitaamia kwangu
 
tafuta mke ili msaidiane, kukaa na house girl usiku kucha mpo wawili tu inabidi uwe na roho ngumu kama ya mchomoa betri.
 
Back
Top Bottom